Katiba mpya haiko chini ya Lowasa, Rostam wala Kikwete, sijajua mantiki ya kuwataja hawa watu.
Unazungumzia katiba ya watu milioni 40! kumbuka
1. Kuna wale ambao kweli kabisa hawajui katiba na hawaoni umuhimu wake, kama alivyosema Gad hapo juu, yaani hawako chapter moja na wewe! hawa watu wanahitaji kujibiwa kwa hoja
2. wako wanaoujua ukweli na wanafanya makusidi kulinda maslahi yao
kwa hali ya sasa kumtofautisha wa kwanza na wa pili ni ngumu, tukiwajua hawa wa pili unaweza hata kuwaua-rukhsa, ila utawajuaje?? is another big task
Tukiweza kujifunza kujenga hoja, tutawashinda, ukijifunza matusi hutaweza, maana unaweza ukakutana na maskini wa kutupwa still hataki katiba mpya na hana mpango nayo
sijui uliwaelewaje Shivji na Ulimwengu, ni waongeaji wazuri ila ukichukua idea zao practically unaweza ukaipata katiba baada ya miaka 2000! please use your head as well no matter who said.! tunawajua vizuri sana hawa watu wawili na tunajua upande gani waliopo!!!!! ni ngumu kuambiwa na kukubali sasa, let me reserve for now
In short we need new katiba na majina ya akina Lowasa, Rostam kamwe yasiingizwe they are nothing, issue za ufisadi hata wewe ni kipeleleza sana unaweza ukawa ni fisadi mzuri tu, nchi hii wengi wanajifanya clean ukifuatilia ni afadhali akina Lowasa na Rostam, na kama kweli hao jamaa wanapinga katiba mpya kwa sababu ya ufisadi wao, basi BELIEVE ME they are no only ones!