Kongamano la tatu la Chama cha Madereva wa Serikali kufanyika Agosti 19-23 jijini Arusha

Kongamano la tatu la Chama cha Madereva wa Serikali kufanyika Agosti 19-23 jijini Arusha

Joined
Aug 12, 2024
Posts
1
Reaction score
1
Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania kimeandaa kongamano la Madereva wa Serikali litakalofanyika ukumbe wa AICC kuanzia Agosti 19-23, 2024 ambapo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atahuduria kama mgeni rasmi pamoja na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa.

Dereva wa Serikali unaweza kujisajili kupitia link hii: eGov TSMS.

 
Maboss wao atawaendesha nani wiki nzima
 
Back
Top Bottom