Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Siku si nyingi niliandika hapa kuwa Kongo ni Taifa lililolaniwa.
Kwa akili za viongozi wao wale Taifa lao litazidi kulaaniwa
www.jamiiforums.com
Kwa akili za viongozi wao wale Taifa lao litazidi kulaaniwa
D.R.C Taifa lililolaniwa tangu wapate Uhuru
Kongo imelaaniwa, tangu wapate Uhuru hawajawahi kupata utulivu. Dalili kuu ya mtu au Taifa lililolaniwa ni kukosa utulivu. DRC nchi iliyojaa madini. Kuna sehemu ukiingia msituni kabisa huko ukichota mchanga gunia 1 unaweza kupata pure gold debe moja lakini kwasababu ya laana iliyotokana na...