Kongole kwa Simba. Yanga tuna mengi ya kujifunza kimataifa

Kongole kwa Simba. Yanga tuna mengi ya kujifunza kimataifa

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Sina haja na salamu.

Hakuna asiyejua kama mimi ni Shabiki kindakindaki ya YANGA SC.

1.Yanga yangu kimataifa inapwaya sana.Jana tumezubaa mpira hata haujavuka mstari refa akaita kati wachezaji plus Captain wamezubaa tu kama yale yale ya Mamelod hakuna hata kumlalamikia refa.

Kama umeona game ya leo ya Simba utaona utofauti kwenye hili.

Kongole kwa viongozi

2.Mbinu nje ya Uwanja.
Makolo wapo viwango vya juu sana linapokuja suala la point tatu nyumbani.Tumeona refa alivyokuwa upande wao kwa kila kitu.Yale hayatokei kwa bahati mbaya ni mipango inapangwa na vichwa vilivyojaa mawazo ya UBAYA UBWELA.Mtabaki mnamlalamikia refa wenu wao point 3 washaweka kapuni na kusepa.Mtajua wenyewe.

Yanga yangu hiyo level hawajafikia ndo maana wanavyongwa tu hata home na marefa.

3.Intesity ya mchezo inakuwa juu sana mechi za home.Yanga yangu imekuwa mdembwedo hata kwa mkapa.Wachezaji wanapoteza mipira hovyo,mtu anapoteza mpira anatembea kama anaenda BUZA.Hawana pira msako tena.

NB:NALAANI KITENDO WALICHOFANYA MASHABIKI WA SIMBA UWANJANI.KAMA MNAFANYA HAYA SHIRIKISHO MKIFIKA KLABU BINGWA SI NDO MTABOMOA KABISA UWANJA?.

Nimeandika kimpira comment pia kimpira.
 
Yanga ijifunze nini shirikisho
Labda tupeleke Yanga Princess 👑
Wanaoshiriki mashindano ya akina mama
 
Pamoja mkuu..
Ila hapo kwa mashabiki subiri taarifa za uongozi wa kiwanja useme..otherwise walioanza choko choko ni wale wala tende...
 
Wewe na makolo wenzako mfike fainali kwanza ya hiyo looser cup halafu ndio mje kutupigia kelele
 
Sina haja na salamu.

Hakuna asiyejua kama mimi ni Shabiki kindakindaki ya YANGA SC.

1.Yanga yangu kimataifa inapwaya sana.Jana tumezubaa mpira hata haujavuka mstari refa akaita kati wachezaji plus Captain wamezubaa tu kama yale yale ya Mamelod hakuna hata kumlalamikia refa.

Kama umeona game ya leo ya Simba utaona utofauti kwenye hili.

Kongole kwa viongozi

2.Mbinu nje ya Uwanja.
Makolo wapo viwango vya juu sana linapokuja suala la point tatu nyumbani.Tumeona refa alivyokuwa upande wao kwa kila kitu.Yale hayatokei kwa bahati mbaya ni mipango inapangwa na vichwa vilivyojaa mawazo ya UBAYA UBWELA.Mtabaki mnamlalamikia refa wenu wao point 3 washaweka kapuni na kusepa.Mtajua wenyewe.

Yanga yangu hiyo level hawajafikia ndo maana wanavyongwa tu hata home na marefa.

3.Intesity ya mchezo inakuwa juu sana mechi za home.Yanga yangu imekuwa mdembwedo hata kwa mkapa.Wachezaji wanapoteza mipira hovyo,mtu anapoteza mpira anatembea kama anaenda BUZA.Hawana pira msako tena.

NB:NALAANI KITENDO WALICHOFANYA MASHABIKI WA SIMBA UWANJANI.KAMA MNAFANYA HAYA SHIRIKISHO MKIFIKA KLABU BINGWA SI NDO MTABOMOA KABISA UWANJA?.

Nimeandika kimpira comment pia kimpira.
Ubaya ubwela
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Sina haja na salamu.

Hakuna asiyejua kama mimi ni Shabiki kindakindaki ya YANGA SC.

1.Yanga yangu kimataifa inapwaya sana.Jana tumezubaa mpira hata haujavuka mstari refa akaita kati wachezaji plus Captain wamezubaa tu kama yale yale ya Mamelod hakuna hata kumlalamikia refa.

Kama umeona game ya leo ya Simba utaona utofauti kwenye hili.

Kongole kwa viongozi

2.Mbinu nje ya Uwanja.
Makolo wapo viwango vya juu sana linapokuja suala la point tatu nyumbani.Tumeona refa alivyokuwa upande wao kwa kila kitu.Yale hayatokei kwa bahati mbaya ni mipango inapangwa na vichwa vilivyojaa mawazo ya UBAYA UBWELA.Mtabaki mnamlalamikia refa wenu wao point 3 washaweka kapuni na kusepa.Mtajua wenyewe.

Yanga yangu hiyo level hawajafikia ndo maana wanavyongwa tu hata home na marefa.

3.Intesity ya mchezo inakuwa juu sana mechi za home.Yanga yangu imekuwa mdembwedo hata kwa mkapa.Wachezaji wanapoteza mipira hovyo,mtu anapoteza mpira anatembea kama anaenda BUZA.Hawana pira msako tena.

NB:NALAANI KITENDO WALICHOFANYA MASHABIKI WA SIMBA UWANJANI.KAMA MNAFANYA HAYA SHIRIKISHO MKIFIKA KLABU BINGWA SI NDO MTABOMOA KABISA UWANJA?.

Nimeandika kimpira comment pia kimpira.
Mpira wa ujanja auwezi kuwafikisha popote,,sio Kila siku utapata mbeleko,,unataka kuwafundisha tabia Gani hizo,,Simba wao wanapofanyaga hizo mbinu uwa wanaishia wapi kwenye iyo michuano? Wangekuwa walishabeba kombe maana hizo mbanga awajaanza Leo,,lile neno kwa mkapa atoki mtu lilikuwa na maana ya ujinga kama huo ambao uwa wanafanya sasa usitake Kila mtu afanye icho kitu akina afya kwenye maendeleo ya soka letu!
 
Mpira wa ujanja auwezi kuwafikisha popote,,sio Kila siku utapata mbeleko,,unataka kuwafundisha tabia Gani hizo,,Simba wao wanapofanyaga hizo mbinu uwa wanaishia wapi kwenye iyo michuano? Wangekuwa walishabeba kombe maana hizo mbanga awajaanza Leo,,lile neno kwa mkapa atoki mtu lilikuwa na maana ya ujinga kama huo ambao uwa wanafanya sasa usitake Kila mtu afanye icho kitu akina afya kwenye maendeleo ya soka letu!
Unataka kusema safari yao inaishia makundi au vp
 
FB_IMG_17342889148134822.jpg
 
Ngoja nione nyuma mwiko watakavyokomenti kwa hasira.Wasaidiwe kuung'oa mwiko uliong'ang'ania aisee!
 
Basi sasa tuendelee kumlaumu MOBETO
Ahhhaaaaa,yamekuwa hayo!
Wewe jamaa wewe yawezekana ndiye uliyekuwa umepeleka jina la Norwegian kule clinic akachomwe sindano lkn bahati iliyoje akakwepa na sasa Waarabu ndio wanajutia kutowapa assist ili mmuchukue.
 
Back
Top Bottom