Kongole kwa UTV kwa kuwa LIVE na chadema tangu day one, wengine walivyoona mambo yamewaka moto kesho yake ndio wakaanza ku-broadcast

Kongole kwa UTV kwa kuwa LIVE na chadema tangu day one, wengine walivyoona mambo yamewaka moto kesho yake ndio wakaanza ku-broadcast

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Wale wengine walikuwa broadcasted tangu day one ila ilivyofika mkutano wa chadema nafikiri ni chaneli moja ndio tu ilianza nao.

Sijui ni hofu, sijui ni ushabiki wa mmpande moja??

Anyway life goes on!!!
 
Media kama TBC ni media ya umma inatakiwa iwe active na vyama vyote vya wananchi. Kipindi cha kampeni kinakuja kampeni zirushwe live bila upendeleo kama hakuna sababu. Azama media watajipatia watazamaji wengi kama wanakuwa active na mambo ya wananchi bila upendeleo
 
Media kama TBC ni media ya umma inatakiwa iwe active na vyama vyote vya wananchi. Kipindi cha kampeni kinakuja kampeni zirushwe live bila upendeleo kama hakuna sababu. Azama media watajipatia watazamaji wengi kama wanakuwa active na mambo ya wananchi bila upendeleo
Hakikq mkuu
 
Media kama TBC ni media ya umma inatakiwa iwe active na vyama vyote vya wananchi. Kipindi cha kampeni kinakuja kampeni zirushwe live bila upendeleo kama hakuna sababu. Azama media watajipatia watazamaji wengi kama wanakuwa active na mambo ya wananchi bila upendeleo
Tbc hawawezi kuwa hivyo asilani abadani
 
Back
Top Bottom