Pre GE2025 Kongole nyingi sana kwa mwenyekiti wa CCM taifa

Pre GE2025 Kongole nyingi sana kwa mwenyekiti wa CCM taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ruzuku ya chama inafika vyema na kwa uhakika sana hadi kwenye ngazi ya matawi na mashina ya CCM huku chini kabisaa kwa wananchi vijijini.

Nyenzo na vitendea kazi muhimu, uwezeshaji wa hali na mali kwa viongozi waandamizi wa CCM, kuanzia ngazi ya tawi unanatufikia vyema sana.
Asanti sana Mama.

Viongozi wa matawi, vijiji, kata, taarafa, wilaya na mikoa, hivi sasa wana wana ari mpya ya kazi, nguvu na kasi mpya ya kutembea kifua mbele, nyumba kwa nyumba katika maeneo yao, kutoa elimu ya itikadi na malengo ya chama, kueleza mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, na kubainisha mipango, mikakati ya chama na serikali sikivu ya CCM kuelekea mbele hususani, kwenye uchaguzi mkuu 2025.

Tunafahamu na kuamini kwamba hii ni sehemu kidogo tu ya jitihada zako mwenyekiti, tunapoelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu, lakini pia ni mwanzo tu wa maandalizi kabambe ya kuelekea kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao 2025 kwa madiwani, wabunge na Rais wa nchi.

Ndugu wananchi,
ukiona vya elea, ujue vimeundwa.

Tunaimani na mwenyekiti wa chama, Tunakuombea Mungu akupe nguvu na afya njema unapendelea kukiongoza chama chetu imara sana, Chama Cha Mapinduzi, kwa umahiri na waledi wa kiwango cha juu sana.

Asanti sana Mama.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
 
Nimesona details za taaifa yako sijaona cha muhimu ulichowasilisha ila tuu nimegundua wewe ni mjumbe wa Chama
 
Nimesona details za taaifa yako sijaona cha muhimu ulichowasilisha ila tuu nimegundua wewe ni mjumbe wa Chama
gentleman,
mbona sijaweka detailed informations hata moja kwenye hoja yangu, zaid ya kongole za jumla tu kwa jitihada za mwenyekiti katika kuimarisha chama 🐒
 
Kizuri kinajiuza kibaya lazima kitumie nguvu kubwa sana kujitembeza 😂😂
N hayo tu.....
kongole hizi sio za kificho, ni za mchana kwepeee, kwasababu ya jitihada za wazi na makusudi za mwenyekiti wa CCM taifa, katika kukiimarsha chama na kukisogeza karibu zaid na wanainchi bila kutumia nguvu kubwa, bali rasilimali za chama, nyenzo na mbinu za kisayansi za kisiasa 🐒
 
Wakati CCM ikiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania, upande wa pili CHADEMA wao wanaendelea kuparurans kama kuku na wengine wameacha hata kusalimiana na kuzungumza zaidi ya kurushiana maneno kupitia mitandao ya kijamii kama alivyosema Mbowe hapo majuzi .
 
Mwaka wa kuforce.
hakuna haja ya kuforce mambo kwenye siasa za wazi kama za CCM, ambapo mambo yanafanyika hadharani mchana kwepeee mpaka ngazi ya shina kule kijijini ndani ndani kabisa 🐒

sio kama hawa wengine wanao jaribu kulazimisha uongo wa porojo, stori na uzushi wao wa kubuni dhidi ya waandamuzi serikalini kitu ambacho wananchi hawana haja nacho na hakiwasaidii chochote kwenye mahitaji yao....

CCM kwa jitihada hizi za mwenyekiti, ushindi wa kishindo ni Lazima serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao baadae mwakani 🐒
 
hakuna haja ya kuforce mambo kwenye siasa za wazi kama za CCM, ambapo mambo yanafanyika hadharani mchana kwepeee mpaka ngazi ya shina kule kijijini ndani ndani kabisa 🐒

sio kama hawa wengine wanao jaribu kulazimisha uongo wa porojo, stori na uzushi wao wa kubuni dhidi ya waandamuzi serikalini kitu ambacho wananchi hawana haja nacho na hakiwasaidii chochote kwenye mahitaji yao....

CCM kwa jitihada hizi za mwenyekiti, ushindi wa kishindo ni Lazima serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao baadae mwakani 🐒
Ndio maan tunapigwa sukari waziwazi na tunalipa bei za wanasiasa na sipika anakenua meno tu.

CCM hii imefika pabaya sana.
 
Wakati CCM ikiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania, upande wa pili CHADEMA wao wanaendelea kuparurans kama kuku na wengine wameacha hata kusalimiana na kuzungumza zaidi ya kurushiana maneno kupitia mitandao ya kijamii kama alivyosema Mbowe hapo majuzi .
For sure kama ndio kachadema, katapata aibu ya kushindwa vibaya mno, kuliko kipindi kingine chochote, na katapotea kabisa kwenye medani ya siasa...

hata hivyo,
jitihada za makusudi za mwenyekiti wa CCM taifa, huku chini kwenye matawi na mashina ya ccm, zimetoa hamasa na nguvu mpya sana hususan kwa waandamizi wa matawi kufanya kazi kwa bidii na kujiamini zaidi katika kuwashawishi wananchi wengi zaidi kujiunga na CCM, lakini pia kuwaimarisha wanachama hai wa CCM na kuwatahadharisha dhidi ya mamluki wa Upinzani ambao wanajipenyeza kinyemela na kuharibu kutatiza na kudhoofisha kazi nzuri inayofanywa na kuchochewa na mwenyekiti wa CCM taifa....
 
Ndio maan tunapigwa sukari waziwazi na tunalipa bei za wanasiasa na sipika anakenua meno tu.

CCM hii imefika pabaya sana.
usipotoshwe kirahisi hivyo gentleman, na watu ambao wana gubu binafsi dhidi ya baadhi ya waandamizi serikalini, kwa uzushi na uongo wa kubuni ambao hauna uhalisia hata kidogo 🐒

ni vizuri unajiuliza,
ikiwa hao wanao kurubuni kifikra dhidi ya tuhuma za uongo, mbona hawaendi mahakamani ikiwa wanazo detailed informations za ushaidi wa hizo porojo na tuhuma za kusadikika?🐒

thus why hivi sasa watu hao walio kosa na kufilisika kisiasa wanapuuzwa mpaka na wanainchi wa vijijini kabisa, kwasabb uongo wao hauna msaada wowote kwa wananchi mijini na vijijini 🐒

so,
make sure uko rada na uko chonjo gentleman 🐒
 
usipotoshwe kirahisi hivyo gentleman, na watu ambao wana gubu binafsi dhidi ya baadhi ya waandamizi serikalini, kwa uzushi na uongo wa kubuni ambao hauna uhalisia hata kidogo 🐒

ni vizuri unajiuliza,
ikiwa hao wanao kurubuni kifikra dhidi ya tuhuma za uongo, mbona hawaendi mahakamani ikiwa wanazo detailed informations za ushaidi wa hizo porojo na tuhuma za kusadikika?🐒

thus why hivi sasa watu hao walio kosa na kufilisika kisiasa wanapuuzwa mpaka na wanainchi wa vijijini kabisa, kwasabb uongo wao hauna msaada wowote kwa wananchi mijini na vijijini 🐒

so,
make sure uko rada na uko chonjo gentleman 🐒
Vingereza vingi kumbe hamna kitu unatetea. Wasomi wa siku hizi ni chizi maarifa.
 
Vingereza vingi kumbe hamna kitu unatetea. Wasomi wa siku hizi ni chizi maarifa.
usipanic relax tu...twende nkupeleke taratibu...

mihemko itakupotezea uelekeo utaishia kutukana tu, ishara ya kuishiwa hoja na kukata pumzi...

kuna mambo yana hitaji utulivu kidogo tu, hekima, busara na heshma kidogo tu kukabiliana nayo na kuyashinda kwa kishindo, kama ambavyo ukinifuatilia hoja na mijadala yangu utagundua, I win massively , in every debate 🐒
 
usipanic relax tu...twende nkupeleke taratibu...

mihemko itakupotezea uelekeo utaishia kutukana tu, ishara ya kuishiwa hoja na kukata pumzi...

kuna mambo yana hitaji utulivu kidogo tu, hekima, busara na heshma kidogo tu kukabiliana nayo na kuyashinda kwa kishindo, kama ambavyo ukinifuatilia hoja na mijadala yangu utagundua, I win massively , in every debate 🐒
WATU WAKIAMUA KUKUPUUZA USIJIITE MSHINDI.

CCM inakipi cha kufanya hapa nchini? CCM ni Chama kinacholea wezi tupu.
 
WATU WAKIAMUA KUKUPUUZA USIJIITE MSHINDI.

CCM inakipi cha kufanya hapa nchini? CCM ni Chama kinacholea wezi tupu.
hata wengine hususa na kugomea mpaka uchaguzi na CCM is keeping wining, we unaongea nini 🤣

I always speak my mind regardless of who will ignore or respond to what I think....
unapuuza na moyo unakuuma 🤣
utachanganykiwa bure gentleman🐒

skiza,
if don't take part in political administrations, don't blame to be ruled by a fool 🐒

CCM haiwezi kufanya mzaha wala matani katika kujizatiti kushinda uchaguzi, kushika dollar, kuunda serikali na kuongoza wanainchi bila kujali makelele, kubabaika na kubwekabweka kwa wasio na sera wala uelekeo 🐒
 
Ruzuku ya chama inafika vyema na kwa uhakika sana hadi kwenye ngazi ya matawi na mashina ya CCM huku chini kabisaa kwa wananchi vijijini.

Nyenzo na vitendea kazi muhimu, uwezeshaji wa hali na mali kwa viongozi waandamizi wa CCM, kuanzia ngazi ya tawi unanatufikia vyema sana.
Asanti sana Mama.

Viongozi wa matawi, vijiji, kata, taarafa, wilaya na mikoa, hivi sasa wana wana ari mpya ya kazi, nguvu na kasi mpya ya kutembea kifua mbele, nyumba kwa nyumba katika maeneo yao, kutoa elimu ya itikadi na malengo ya chama, kueleza mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, na kubainisha mipango, mikakati ya chama na serikali sikivu ya CCM kuelekea mbele hususani, kwenye uchaguzi mkuu 2025.

Tunafahamu na kuamini kwamba hii ni sehemu kidogo tu ya jitihada zako mwenyekiti, tunapoelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu, lakini pia ni mwanzo tu wa maandalizi kabambe ya kuelekea kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao 2025 kwa madiwani, wabunge na Rais wa nchi.

Ndugu wananchi,
ukiona vya elea, ujue vimeundwa.

Tunaimani na mwenyekiti wa chama, Tunakuombea Mungu akupe nguvu na afya njema unapendelea kukiongoza chama chetu imara sana, Chama Cha Mapinduzi, kwa umahiri na waledi wa kiwango cha juu sana.

Asanti sana Mama.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi [emoji205]
Kama hukuzaliwa gesti basi ulizaliwa stendi mbwa mwitu wewe
 
hata wengine hususa na kugomea mpaka uchaguzi na CCM is keeping wining, we unaongea nini 🤣

I always speak my mind regardless of who will ignore or respond to what I think....
unapuuza na moyo unakuuma 🤣
utachanganykiwa bure gentleman🐒

skiza,
if don't take part in political administrations, don't blame to be ruled by a fool 🐒

CCM haiwezi kufanya mzaha wala matani katika kujizatiti kushinda uchaguzi, kushika dollar, kuunda serikali na kuongoza wanainchi bila kujali makelele, kubabaika na kubwekabweka kwa wasio na sera wala uelekeo 🐒
Kwa ulivyo CCM lazima itashinda tu.

Haya ni matokeo ya kulelewa na kukuta kila kitu unafanyiwa. Hujawahi jiuliza hata kwa nini ccm isizalishe sukari iuze hadi nje ya nchi?

Miwa inahitaji maji, maji yapo kila kona ya nchii hii.. mito, maziwa n.k. ila kila mara tunalia tu.

Kataa kuwa mtu wa kawaida .. eti anacheeka. afu kesho yake tu maji na umeme vinakatika hovyohovyo na kodi tunalipa.
 
Kwa ulivyo CCM lazima itashinda tu.

Haya ni matokeo ya kulelewa na kukuta kila kitu unafanyiwa. Hujawahi jiuliza hata kwa nini ccm isizalishe sukari iuze hadi nje ya nchi?

Miwa inahitaji maji, maji yapo kila kona ya nchii hii.. mito, maziwa n.k. ila kila mara tunalia tu.

Kataa kuwa mtu wa kawaida .. eti anacheeka. afu kesho yake tu maji na umeme vinakatika hovyohovyo na kodi tunalipa.
mimi siwezi kujiuliza maswali ya kusadikika au yanayochochewa na chuki binafsi, za watu dhidi ya wengine....

mimi ni mtu makini, huru timamu, nisie chochewa,wala kushinikizwa namna ya kuidhi wala kufanya aina gani ya siasa au kufuata mkumbo tu kama unavyofabya wewe :pedroP:

unakiri mwenyewe kwamba miwa inahitaji maji, na maji yapo kila kona ya nchi, sasa unalalamika nini?:pedroP:
si uchukue hayao maji umagilie kwenye miwa yako, unalia na kulalamika nini sasa:pedroP:

acha uvivu, kua mbunifu na mwenye bidii katika kazi, daima msjirikishe Mungu kwenye kazi na mipango yako...

kwa kufanya hivyo, huwezi kupata muda wa kulia lia, wala kumlalamikia mtu mwingine yeyote kwa chochote....
 
Unafurahia bodaboda!!?
si hivyo tu,
mipira na jezi za michezo za ccm, tracks&jackets za ccm, t shirts, kofia, kanga, vitenge, skafu, madera ya ccm, peni za kisasa za risasasi za ccm, notebooks za ccm, beji na medali za ccm, tairi cava za ccm n.k n.k aiseeeeeeee :pedroP:

na hiyo ni sehemu kidogo sana,
bado mabajaji ya ccm, mav8 ya 0km ya kumwaga yanakuja aiseee nchi hii ni kijani tupu tunapoelekea 2025 :pedroP:
 
Back
Top Bottom