Basi ccm itatawala milele, kama wananchi wanashoboka na vitu vidogo kama hivi??!!!hivyo tu,
mipira na jezi za michezo za ccm, tracks&jackets za ccm, t shirts, kofia, kanga, vitenge, skafu, madera ya ccm, peni za kisasa za risasasi za ccm, notebooks za ccm, beji na medali za ccm, tairi cava za ccm n.k n.k aiseeeeeeee
Kidumu kilishatoboka na wenye nacho hawana habari🫠Ruzuku ya chama inafika vyema na kwa uhakika sana hadi kwenye ngazi ya matawi na mashina ya CCM huku chini kabisaa kwa wananchi vijijini.
Nyenzo na vitendea kazi muhimu, uwezeshaji wa hali na mali kwa viongozi waandamizi wa CCM, kuanzia ngazi ya tawi unanatufikia vyema sana.
Asanti sana Mama.
Viongozi wa matawi, vijiji, kata, taarafa, wilaya na mikoa, hivi sasa wana wana ari mpya ya kazi, nguvu na kasi mpya ya kutembea kifua mbele, nyumba kwa nyumba katika maeneo yao, kutoa elimu ya itikadi na malengo ya chama, kueleza mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, na kubainisha mipango, mikakati ya chama na serikali sikivu ya CCM kuelekea mbele hususani, kwenye uchaguzi mkuu 2025.
Tunafahamu na kuamini kwamba hii ni sehemu kidogo tu ya jitihada zako mwenyekiti, tunapoelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu, lakini pia ni mwanzo tu wa maandalizi kabambe ya kuelekea kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao 2025 kwa madiwani, wabunge na Rais wa nchi.
Ndugu wananchi,
ukiona vya elea, ujue vimeundwa.
Tunaimani na mwenyekiti wa chama, Tunakuombea Mungu akupe nguvu na afya njema unapendelea kukiongoza chama chetu imara sana, Chama Cha Mapinduzi, kwa umahiri na waledi wa kiwango cha juu sana.
Asanti sana Mama.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
Matunda ya ukwapuaji ulioratibiwa vyema,kwa ufadhili wa machawa🫠si hivyo tu,
mipira na jezi za michezo za ccm, tracks&jackets za ccm, t shirts, kofia, kanga, vitenge, skafu, madera ya ccm, peni za kisasa za risasasi za ccm, notebooks za ccm, beji na medali za ccm, tairi cava za ccm n.k n.k aiseeeeeeee
na hiyo ni sehemu kidogo sana,
bado mabajaji ya ccm, mav8 ya 0km ya kumwaga yanakuja aiseee nchi hii ni kijani tupu tunapoelekea 2025
Hoja ni kidumu kuwa kimetoboka.ni muhimu kua mtulivu wa fikra, kuliko kukurupuka bila hoja mbadala 🐒
acha upotoshaji gentleman,Kwa ulivyo CCM lazima itashinda tu.
Haya ni matokeo ya kulelewa na kukuta kila kitu unafanyiwa. Hujawahi jiuliza hata kwa nini ccm isizalishe sukari iuze hadi nje ya nchi?
Miwa inahitaji maji, maji yapo kila kona ya nchii hii.. mito, maziwa n.k. ila kila mara tunalia tu.
Kataa kuwa mtu wa kawaida .. eti anacheeka. afu kesho yake tu maji na umeme vinakatika hovyohovyo na kodi tunalipa.
Basi ondoeni kwa hakika wale maadui watatu ujinga,umaskini na maradhi hapo itakuwa kweli🫠muhimu ni kwamba nchi ina amani na utulivu licha ya mihemko michache isiyo na tija 🐒
Tujulishe dhamana yako ndugu mtoto wa mkulima🫠acha upotoshaji gentleman,
mara ya kwanza nathubutu kugombea ubunge nini laki5 pekee mfukoni, jiulize nilitoboa au sikutoboa?🤣
mimi ni matunda ya shule za kata..
hivi navyoandika nipo shambani licha ya cheo na dhamana niliyonayo kwa wanainchi 🐒
my friend ni kujipanga tu 🐒
nadhani hiyo si muhimu sana,Tujulishe dhamana yako ndugu mtoto wa mkulima🫠
Chama kipi,vipo vingi ujue😃nadhani hiyo si muhimu sana,
ile ya maana zaidi ni kuona zile rasilimali za chama zinafika huku ground kabisa kwa viongozi wa matawi ya chama. Na hiyo ndio uhai na msingi wa uimara wa CCM 🐒
tuendelee kuunga mkono jitihada za makusudi za mwenyekiti wetu wa chama 🐒
Sema ni kuona zinafika kwa ndugu wajumbe wanyoa vichwaa🤭nadhani hiyo si muhimu sana,
ile ya maana zaidi ni kuona zile rasilimali za chama zinafika huku ground kabisa kwa viongozi wa matawi ya chama. Na hiyo ndio uhai na msingi wa uimara wa CCM 🐒
tuendelee kuunga mkono jitihada za makusudi za mwenyekiti wetu wa chama 🐒
Mawakala wa shetani wapo kazini!Ruzuku ya chama inafika vyema na kwa uhakika sana hadi kwenye ngazi ya matawi na mashina ya CCM huku chini kabisaa kwa wananchi vijijini.
Nyenzo na vitendea kazi muhimu, uwezeshaji wa hali na mali kwa viongozi waandamizi wa CCM, kuanzia ngazi ya tawi unanatufikia vyema sana.
Asanti sana Mama.
Viongozi wa matawi, vijiji, kata, taarafa, wilaya na mikoa, hivi sasa wana wana ari mpya ya kazi, nguvu na kasi mpya ya kutembea kifua mbele, nyumba kwa nyumba katika maeneo yao, kutoa elimu ya itikadi na malengo ya chama, kueleza mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025, na kubainisha mipango, mikakati ya chama na serikali sikivu ya CCM kuelekea mbele hususani, kwenye uchaguzi mkuu 2025.
Tunafahamu na kuamini kwamba hii ni sehemu kidogo tu ya jitihada zako mwenyekiti, tunapoelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu, lakini pia ni mwanzo tu wa maandalizi kabambe ya kuelekea kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi mkuu ujao 2025 kwa madiwani, wabunge na Rais wa nchi.
Ndugu wananchi,
ukiona vya elea, ujue vimeundwa.
Tunaimani na mwenyekiti wa chama, Tunakuombea Mungu akupe nguvu na afya njema unapendelea kukiongoza chama chetu imara sana, Chama Cha Mapinduzi, kwa umahiri na waledi wa kiwango cha juu sana.
Asanti sana Mama.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒