Kongole Usingizi wa Magufuli Terminal mnajitahidi kwa usafi

Kongole Usingizi wa Magufuli Terminal mnajitahidi kwa usafi

Trubarg

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2020
Posts
4,388
Reaction score
7,223
Licha ya kwamba stand hii haijakamilika vzuri mnajitahidi sana katika suala la usafi...Hii pia imechagizwa na kuwaondoa wale wamachinga ambao walishaanza kujenga vibanda ndani ya stand hii ya kimataifa. Usafi unaridhisha kuanzia vyooni hadi mazingira ya nje.

Kuna dustbin kila mahala na abiria pia wanajitahidi kuwa wastaarabu kwa kuzitumia ipasavyo hizo dustbin.

Ni rare sana kukuta uchafu ukizagaa au vumbi la hovyo hovyo. Tatizo kubwa nakuona kwenye hayo magari ambayo yanavujisha oil kiasi kwamba baadhi ya maeneo sakafu imeanza kuwa nyeusi mkiweza dhibiti hili basi ntawapa five stars
 
Unaenda sehemu yenye majengo ya maana unaingia toilet unakuta kwny sink la kunawia mikono mtu amekata bonge la gogo afu Lina rangi rangi.
 
Unaenda sehemu yenye majengo ya maana unaingia toilet unakuta kwny sink la kunawia mikono mtu amekata bonge la gogo afu Lina rangi rangi.
Pale Magufuli sijaona Hilo..ukifanya hivyo wale Suma JKT watakubebesha mzigo wako
 
Jiji la Dar lazima liwe na muonekano kama nchi nyingine za kupendeza ndio sura ya Taifa kibiashara, sio kila sehemu maturubai ya njano na bluu hapana
suluhisho ndio kuwatimua waache jiji? Na je mkiwapeleka miji mingine hiyo haipaswi kuwa kama dar? Au wabaki vijijini mwao wakifanya umachinga? Dar inavutia na soko lina watu wengi kuliko vijijini
 
Chadema hawaruhusiwi kukanyaga stendi ya Magufuli
 
usafi...Hii pia imechagizwa na kuwaondoa wale wamachinga ambao walishaanza kujenga vibanda ndani ya stand hii ya kimataifa...U
"Haiwezekani muiite hii stand magufuli halafu machinga wawe wanafukuzwa hapa" alisema yule bwana wa mavumbini
 
Back
Top Bottom