Hata Yanga pia wametolewa, maana hawana Kombe.Ujajibu swali?
Yaani ZALAN FC ni sawa na SIMBA SC?
Maana wote wametolewa CAF...
Kama kulikuwa na ushindani mkubwa mbona wengine wameshuka daraja huko? Labda ushindani dhaifu.
Huwa unatokea tu.Kama kulikuwa na ushindani mkubwa mbona wengine wameshuka daraja huko? Labda ushindani dhaifu.
Hawanaga akili hawa, Ni kuwaacha tu.Mafanikio ni kuchukua Kombe, tofauti na hapoo ni msindikizaji km wengine tyuuh, yaan huna tofauti na waliotolewa hatua ya awali, ni mlipishana Muda tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]