kifaulongo
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,033
- 458
Tajiri yupo Dar es salaam. Ananunua Kontena za Ft 20 na Ft 40. Ziwe katika Hali nzuri. Baada ya makubaliano, Usafiri ni juu yake. Atasafirisha kontena zilizopo Nje ya Dar es salaam. Zinahitajika haraka. Wahi mapema.
Kwa mawasiliano Piga 0753021619.
Kwa mawasiliano Piga 0753021619.