Konyagi Vs Valeur nini kiboko kunako game?

mmh machozi ya simba baba!!!!!!!!!!!!!
utakuwa imara km simba haitalala .na km ulimchukua dadapoa nakwambia atadai chenj yake........
:confused2::confused2::confused2:
 
ni kweli kabisa, wengine a glass of wine inatosha kabisa ila Tusker naweza kesha hadi mng bila kulala (usingizi unapotea kabisa)
:confused2::glasses-nerdy::A S 8::fencing:
 
mmh machozi ya simba baba!!!!!!!!!!!!!
utakuwa imara km simba haitalala .na km ulimchukua dadapoa nakwambia atadai chenj yake........

kudadadeki................!!!!!!!!!!!!
 
chief i couldn'nt agree more....jibu tosha kabisa.
 
ni kweli kabisa, wengine a glass of wine inatosha kabisa ila Tusker naweza kesha hadi mng bila kulala (usingizi unapotea kabisa)

Mkuu, kwani na wewe unakunywaga? ....aam, eeeh......aaah , mh thamahani, hv wewe ni baba au mama? :confused2:
 
Mkuu, kwani na wewe unakunywaga? ....aam, eeeh......aaah , mh thamahani, hv wewe ni baba au mama? :confused2:
heheheeeeeeeeeeh! nadumisha mila mkuu:welcome:kama jina langu linavyosomeka ndo jinsia yangu
 
siku hizi tatizo la nguvu limekuwa issue watu mpk m-boost na maulevi lol dunia inaelekea ukingoni tatizo ni nini haswa?
 
Mzee utalala, ukija kushituka ni asubuhi, binti kisha vaa anangoja hela yake ya nauli wakati hata hujamtomasa

hakuna kitu inanikera kama hii situation, du!yaani mzee umegharamika muda wote huo kisha usingizi na uchovu unakufanya ushindwe kupiga gwaride!na hawa watoto bila huruma asubuhi kama kawa anataka chake atambae...........aaaah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…