Konyagi Vs Valeur nini kiboko kunako game?

mmh machozi ya simba baba!!!!!!!!!!!!!
utakuwa imara km simba haitalala .na km ulimchukua dadapoa nakwambia atadai chenj yake......
..

Rose umenichekesha sana ...... hiyo imetulia
 
kwani hiyo ki2 mpaka upate valuer,konyagi cjui amarula na vinavyofanana na hivyo ndo unapata stim ya kudo ze nidfull au ndo vile tena hamtaki kuibiwa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…