Kora Awards Alikiba wa pili kwa mauzo Afrika

mchukunuzi

Member
Joined
Jan 2, 2017
Posts
89
Reaction score
89
Kutokana na utafiti uliofanywa na KoraAwards, umebaini kuwa, katika kipindi hiki ambacho soko la mziki Afrika linakuwa kwa kasi, katika sehemu mbali mbali, duniani mwanamziki kutoka Tanzania Alikiba ni wa pili kwa mauzo kwa upande wa Afrika kwa sasa. Jambo la kujivunia ni kuwa mziki wa Tanzania umeweza kupenya kwa kasi na kupendwa kwa kasi barani Afrika. Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Alikiba
 
Hebu kwanza weka hii source ya hii habari yako.
 
Hebu leta link tuende wenyewe tujionee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…