Korea Kaskazini watishia kuzifuta katika ramani ya dunia Japan na Korea Kusini

Walimhisi Sadam Hussein kua anamiliki silaha za maangamizi wakamvamia ila huyu Kim kwa mdomo wake mwenyewe kasema anazo. Basi tunataka wamvamie.
Kwa saddam walikuwa na uhakika kabisa hazipo, ila kwa huyu mwamba wapo 50X50, usa akirusha kombora Pyongyang huko Washington nako wanaweza kuoga mvua ya intercontinental ballistics, ni mjinga pekee atakaefanya maamuz ya kumuingilia kim kipindi hiki
 
Kwa saddam walikuwa na uhakika kabisa hazipo, ila kwa huyu mwamba wapo 50X50, usa akirusha kombora Pyongyang huko Washington nako wanaweza kuoga mvua ya intercontinental ballistics, ni mjinga pekee atakaefanya maamuz ya kumuingilia kim kipindi hiki
Wanaogopa nn kurusha mawe mbona wanasema wana interception system za uhakika. Ebu waache uoga, warushe tu mawe Pyongyang
 
Chanzo cha habari hii nini?πŸ€”
 
Japan washaathirika na ushoga pamoja na hao Korea kusini. Wamelegea sana na wako kama robots wa US.
Wanaume kamili kama North Korea na Urusi huwa hawana masihara.
 
Kwa saddam walikuwa na uhakika kabisa hazipo, ila kwa huyu mwamba wapo 50X50, usa akirusha kombora Pyongyang huko Washington nako wanaweza kuoga mvua ya intercontinental ballistics, ni mjinga pekee atakaefanya maamuz ya kumuingilia kim kipindi hiki
Kim mwenyewe kila siku anatesti mitambo anatamani atokee boya mmoja amfue kisawa sawa ili kujipima misuli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

Yani yeyote atakaeleta shobo Kiduku ataishi nae kwa sababu anamsubiria kwa hamu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…