Dunia ishakuwa ulimwengu wa Kambale. Mkubwa ndevu mtoto ndevu.Wakati huu Dunia haina super power
Wamvamie kwa sound reason gani?!Sasa si- wamvamie Ili tuone [emoji16][emoji16]
AhahahWalimhisi Sadam Hussein kua anamiliki silaha za maangamizi wakamvamia ila huyu Kim kwa mdomo wake mwenyewe kasema anazo. Basi tunataka wamvamie.
Huyu mshenzi inawezekana ndiyo kammaliza babu yangu Shinzo, ila nakuhakikishia hana ubavu huo wa kuzing'oan Japan na Korea Kusini kama anavyotapa hiyo ni ndoto tuu"TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un
Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.
"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...
"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...
" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...
Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...
View attachment 2295330
Mkuu hatutafuti adui. Anayejiona yeye ni halali kuwa na nuclear na wengine kuwa nazo haramu basi aje.Kim nae aache mikwara.kama anaweza agonge New York pale pale
Japan wana sera yao kuhusu vita, hawakutaka kuwa na jeshi kubwa baada ya Hiroshima na NagasakiJapan na South Korea wamekuwa mabwege kwa sababu ya kumsikiliza mmarekani. Yaani Japan imekuwa ya kuchimbiwa mikwara na North Korea!? Inasikitisha sana na sasa Europe imeingizwa chaka na marekani na wasipokuja kushtuka mapema Europe haitakuwa tofauti na Africa
Kwani Iraq ilivamiwa kwann?siwalituhumiwa Wana wmd huyo anazo kabisa mbona hawaendiWamvamie kwa sound reason gani?!
Hawa jamaa si ndio nasikia bangi ni halali kwao"TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un
Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.
"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...
"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...
" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...
Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...
View attachment 2295330
Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji23] marekani sasaivi kila anapogusaWangepatikana Marais 5 tu tungekaa sawa upuuzi umezidi.
Kila mtu akae nchini kwake na aheshimu mipaka.Dawa ya kujua kama ni mikwara ni kumvamia tuuuu.
Kwa Nini waandikie mate na wino upo?
USA waliwahi kumvamia Iraq kwa sababu kama hizi za Noko.
Wakamdisarm.
Wamdisarm na North Korea basi.
Huwa kinaropoka baada ya kuvimbiwa nchi yenyewe njaa tupu anao uwezo wa kuendesha vita miaka?yaani watu wanafikiria mambo ni easy sana kama wanavyoona kwenye movie...unaweza kupigana na nchi mbili? mbili
"TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un
Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi na Kusogeza silaha katika Nchi za Japan na south Korea.
"Ndiyo wanafanya Mazoezi, ni Kitisho tu, tena kutoka kwa wajinga na waoga, Sisi tumeshakuwa Tayari miaka 10 ama 15 kabla ya Leo, tuna silaha za kutisha...na mtu yeyote ajaribu"...mwenrndo wao wa uchokozi sasa umefika pabaya, Lakini kama ni kutuvamia Basi wamechelewa, Ma comrades wetu wapo macho na Wataalam wangu wameunda silaha hazijawahi kufikiriwa Ulimwenguni"...
"Wamo KWENYE Mipaka ya Mabepari wenzao, wamo Japan na wanatishia kwa kuleta Mazoezi, Nawaambia Kabla risasi yao moja haijatua kwenye Ardhi ya Jamhuri hii, Japan na Korea zitakuwa zimefutika kwenye USO, tutazifuta kabisa, naam zitafutika ili hao majangili wakose pa kudai wanafanya Mazoezi"...
" Silaha zetu ni za kutisha na bahati njema hazizuiliki na mfumo wowote, na kwa namna ya ubora wake, haitatuchukua dakika 30 kuvifuta kabisa visiwa vya hawa wachokozi"...Na Mimi sitanii, na tena sisemi neno bure, wajaribu"...
Bwana Kim pia aliongelea suala la Covid-19 na kudai kuwa nao ilikuwa ni silaha ya uchokozi kwa watu wa Korea Lakini hatua stahiki na za upesi zimesaidia kukabili ugonjwa huo...
Safi sana, watu sasahivi lazima wahamke waje na strategy ya kupapambana na ushenzi wa Western wa sera za kudhoofisha uchumi wa baadhi ya mataifaBREAKING: Iran's National Oil Company has announced a $40 billion strategic cooperation agreement with Russia's Gazprom, in line with Putin's visit to the country.
Unadhani ni rahisi kufanya hayo uliyoyazungumza dhidi ya Korea ya kaskazini ?🤔Huyo takataka anajifariji ashukuru anaongoza ng'ombe. Ana impact gani duniani kasambaratishwa Mrusi sembuse hicho kimashavu. Huyo haitaji hata silaha kumsambaratisha ni kuwaingizia tu ng'ombe wake mawazo mapya ya ukombozi wa fikra. Kisha anaundiwa vikundi vya kama alivyofanyiwa Gadaff na Saddam. Utashindana vipi na watu waliokabidhiwa duniani waiongoze.