tindikalikali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 4,854 Reaction score 1,129 Aug 16, 2011 #1 Watengenezaji wa mafuta ya Korie ikiwa mnafanya haka kamchezo katawamaliza. Kwa mara ya 3 sasa nanunua haya mafuta na kukuta maji ndani. Kwa ufupi mimi mshanipoteza kama mteja wenu.
Watengenezaji wa mafuta ya Korie ikiwa mnafanya haka kamchezo katawamaliza. Kwa mara ya 3 sasa nanunua haya mafuta na kukuta maji ndani. Kwa ufupi mimi mshanipoteza kama mteja wenu.
B Bajabiri JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 9,728 Reaction score 1,204 Aug 16, 2011 #2 Du,ya lita ngapi?