Korodani moja>>>manii kidogo??

Korodani moja>>>manii kidogo??

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,684
Reaction score
2,156
Sina shaka na uzalishaji wa mbengu zenye genes zote. Swali langu ni, je kuna ukweli wowote kuwa mtu mwenye korodani moja (kutokana na nyingine kuondolewa kwa sababu za kiafya) huzalisha kiasi kidogo cha shahawa?? Na je, ni kweli humsababishia mwanaume kuwa mlegevu kwenye tendo?? Msaada wenu tafadhali.
 
Back
Top Bottom