Korodani! Msaada jamani

Korodani! Msaada jamani

MtoMsimbazi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2009
Posts
1,800
Reaction score
3,091
Habari zenu wana JF, mimi ninatatizo ambalo limeanza hivi karibuni sijaenda kwa daktari au la ila tatizo lenyewe ni kwamba korodani zangu zinakuwa zinauma sana je ni sababu ya nini na nifanyeje ili kuondoa tatizo hili?
 
Wahi hospital hapa si hospital. Hicho kiungo ni sensitive sana na sijui kwa nini unapoteza muda wako hapa!!! Tena tafuta daktari Bingwa wa wanaume.
 
Mara ya mwisho ulifanya mapenzi lini wewe?JARIBU KUPIGA PULI a.k.a punyeto labda itasaidia
 
nadhani ungeweza kuelezea zaidi jinsi inavyouma...
mara nyingine ni UGWADU/nyege tuu...
au ngiri...pia yaweza kuwa dalili ya busha...
cha msingi lakini nenda tu hosptali...
 
Mara ya mwisho ulifanya mapenzi lini wewe?JARIBU KUPIGA PULI a.k.a punyeto labda itasaidia

nadhani ungeweza kuelezea zaidi jinsi inavyouma...
mara nyingine ni UGWADU/nyege tuu...
au ngiri...pia yaweza kuwa dalili ya busha...
cha msingi lakini nenda tu hosptali...


kama hamna majibu ya kitabibu bora mkae kimya! tu! msilete mzaha na afya za watu!

 
Habari zenu wana JF, mimi ninatatizo ambalo limeanza hivi karibuni sijaenda kwa daktari au la ila tatizo lenyewe ni kwamba korodani zangu zinakuwa zinauma sana je ni sababu ya nini na nifanyeje ili kuondoa tatizo hili?

mkuu hapo kuna more than 10 differential diagnosis popping my mind .. cha kufanya nenda hospitali utafanya US & P.E utajua nini chanzo cha tatizo lako
 
dogo tatizo ni kuwa hujapiga mambo kitambo so tafuta mtu au ingia bafuni mkuu
 


mkuu hapo kuna more than 10 differential diagnosis popping my mind .. cha kufanya nenda hospitali utafanya US & P.E utajua nini chanzo cha tatizo lako


dokta njiwa zitaje basi...
hata tano tu.
 
Last edited by a moderator:


mkuu hapo kuna more than 10 differential diagnosis popping my mind .. cha kufanya nenda hospitali utafanya US & P.E utajua nini chanzo cha tatizo lako

Sasa si useme tu physical examination na ultra sound? Acha kudolishia wenzio, nao waka-google, mweeh!
Shuleni siku ya msihano ulikuwaga unajifunikia na mkono ili BAGAH asikudesee eeh?
 
Last edited by a moderator:
mimi mzima wangu...
hivi kwenye hili jukwaa tunaruhusiwa kutaja viuongo vyetu live?
kwa mfano PUMB* badala ya korodani...

Hujui raha ya humu eh? Hapa unataja na kushika chochote utakacho. Wewe tu na balaa lako. Ila vyeti vinahakikiwa kwanza manake mmmh!
 
ingawa si wote wenye nia njema au utani unakuwa mwingi kwenye jambo muhimu ila nashukuru kwa mawazo yenu, nadhani hapa ni kwenda hospitalini tu ndiyo suluhisho, nilitaka kujua basic ya tatizo km hilo kwakuwa mimi si mtaalamu wa kitabibu (dactari) hivyo nimekuja hapa ili angalau nipate mwangaza wa jambo km hili, ila kwa ushauri ulio mwingi nimeona afadhari niende hospital tu nikajue kinachoendelea, asanteni sn wana JF the tatizo/ufumbuzi wake nitakuja tena hapa ili tuweze saidiana kwakuwa inawezekana yupo mtu anatatizo km langu na likamsaidia.
 
Back
Top Bottom