Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Leo Rais Samia Suluhu Hassan yuko mwanza mikutano yake Ina maelfu ya watu ambao hawajavaa barakoa ila kesho CHADEMA wakiitisha mkutano wawatu 50-70 Corona inatinga na hazitambuliwi na madaktari Ila polisi wenye bunduki na virungu.
Korona ya Tanzania is so unique.
Korona ya Tanzania is so unique.