Ni baada ya Leo wakulima kugoma kuuza korosho za kwao kutokana na kutoridhishwa na soko la siku ya kwanza ya mnada. Bei ya juu ni 2000/=na bei ya chini ni 1590/=.
Hii siyo sawa kabisa na ukilinganisha gharama za uzalishaji kwa mwaka huu 22/23 kupanda kwa bei ya mafuta ya kupulizia na kumlipa mpuliziaji hili zao linataka kuleta ukorofi wa miaka Saba nyuma, watu wapeana hasara kwa kunguziwa vitu vyao na hasara nyingine za namna hiyo.
Hii siyo sawa kabisa na ukilinganisha gharama za uzalishaji kwa mwaka huu 22/23 kupanda kwa bei ya mafuta ya kupulizia na kumlipa mpuliziaji hili zao linataka kuleta ukorofi wa miaka Saba nyuma, watu wapeana hasara kwa kunguziwa vitu vyao na hasara nyingine za namna hiyo.