Kumlipa mkulima beinya tsh 2000 na sawa na kumrudishia gharama yake bila kujali katumia muda gan shambani na vilevle bila kujali,gharama za maisha zimepanda,KWELI UBINADAMU KAZ,Hebu tujiulize swali dogo sana,kilo moja ya unga kwa sasa ni tsh 1800,mchele tsh 2400,kunahaja ya kureview minada ya korosho na kuwa na bei elekezi(dira) hakuna mnada duniani unapigwa bila kua na bei dira.
Watu wanakopa mabank na kuingiza kwenye kilimo ili kilimo kiwe na tija but unakuta wanaosimamia ndio mabosi,ifikie hatua kama vyama vya msingi haviwezi kuwa na maamuzi na hili,wakulima wazalishe korosho then kila mtu ajue atauza wap coz huu sio uungwana,mfano ukienda supermarkets yeyote ile unapata korosho iliyoandaliwa nusu kilo kwa tsh10000 namaanisha uandaaji wake wala haufikii elfu tano so kama tatizo halina ufumbuzi kila mkulima aruhusiwe kufanya biashara atakavyoweza kila mtu anamatatzo yake so asionekane mtu anayo makubwa kuliko ya mwenzake. Very sad kwa wakulima poleni watu wa kusini,ila msipo amka mataendelea kulalamika.