Korosho Vs Nyanya

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,497
Reaction score
16,180
Nyanya ringa tuu ona mwenzio aliringa sana leo ana bandage kichwani.
 
πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜ΆπŸ€¨πŸ˜‘πŸ˜πŸ€”πŸ€”
 
Kilimo cha nyanya ni kamari, unaposema nipumzike wenzako wanapiga. Kama unaweza lima kwa kumwagilia, nashauri kuanzaia mwezi wa 5 panda maharage. Yatakuwa na bei nzuri sana, pia kama ulilima mahindi kwaajili ya Gobo, nashauri acha yakauke utakuja piga pesa hapo baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…