Ni-PM namba yako ili ukiishiwa bundle niweze kukutafuta.Kheri ya mwaka mpya wana JF.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Kumbe ukikosa bundle la kuingia JF ndio utamjua rafiki wa kweli.
Kipindi ambacho nili ishiwa kuna marafiki wa kweli ambao walinitafuta baada ya kuona siko hewani. Ahsanteni sana. Nyie sasa sio marafiki bali mmekuwa ndugu zangu.
Barikiweni sana Tantaw, Mgibeon, Mulhat Mpunga, myoyambendi Miss Natafuta
Ahsanteni sana wote mlionijali kwa kipindi hicho nilivyokuwa juu ya mawe.
Kheri ya mwaka mpya wana JF.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Kumbe ukikosa bundle la kuingia JF ndio utamjua rafiki wa kweli.
Kipindi ambacho nili ishiwa kuna marafiki wa kweli ambao walinitafuta baada ya kuona siko hewani. Ahsanteni sana. Nyie sasa sio marafiki bali mmekuwa ndugu zangu.
Barikiweni sana Tantaw, Mgibeon, Mulhat Mpunga, myoyambendi Miss Natafuta
Ahsanteni sana wote mlionijali kwa kipindi hicho nilivyokuwa juu ya mawe.
hayaBas sawa
aiseee kumbe! ngoja nije kabisa sasa hivi ahsante sanaUsikubali kukosa bando Njoo pm na namba yako Voda Nakuunga Kwa 3000/= tu wiki.
Ahsante sana kunikaribisha sasa nimerudi rasmi maana nimeunga bando la siku saba, 😛😛Karibu sana bibie al manusura nikufate pm ila ni heri kua u mzima
mmh! kwa njjia ya mawasiliano, mmmmh!Walikutafutaje?
Ndio kwa maswali yako yoteAkili zako unazijua mwenyew ivi namba ya simu ipo kwenye bango hapo?
nakutumia pm soonMawasiliani yepi ambayo wengine wote tunayo ukiwq hunq bando tunaweza kukupata
hahahahahah, ndio hahahahahHahahaaaaa. Kumbe kipimo cha urafiki wa kweli siku hz kipo in term of bando..
Picha ya kuonesha nilivyokuwa nimeishiwa au picha ya hapo wapendwa walionijali kipindi nimefulia?[emoji121]
WEKA PICHA MKUU!!!
[emoji121] [emoji121] [emoji121]