Ubuyu mchafu
New Member
- Nov 26, 2022
- 4
- 41
Habari wakuu,
Nimekuwa nikiskia sana kuhusu baadhi ya watu wakikamatwa na polisi na kupelekwa mahakamani kwa kosa la kutakatisha fedha.
Wengine shughuli zao za kuwaingizia pesa ni za kawaida kabisa lakini wanafunguliwa kesi za kutakatisha fedha.
Je, Nini mamana halisi ya kosa la utakatishaji fedha?
Mimi kama kijana naona kuna umuhimu wa kujua kuhusu maana halisi ya utakatishaji fedha, mwezi ulio pita nimekutana na vijana wanao teseka na kezi za namna hii wakiwa mahabusu.
Nimekuwa nikiskia sana kuhusu baadhi ya watu wakikamatwa na polisi na kupelekwa mahakamani kwa kosa la kutakatisha fedha.
Wengine shughuli zao za kuwaingizia pesa ni za kawaida kabisa lakini wanafunguliwa kesi za kutakatisha fedha.
Je, Nini mamana halisi ya kosa la utakatishaji fedha?
Mimi kama kijana naona kuna umuhimu wa kujua kuhusu maana halisi ya utakatishaji fedha, mwezi ulio pita nimekutana na vijana wanao teseka na kezi za namna hii wakiwa mahabusu.