Kosa la Polisi Mbeya ni lipi?

Kosa la Polisi Mbeya ni lipi?

tufahamishane

Member
Joined
Jun 22, 2024
Posts
28
Reaction score
30
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.

Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa Tanzania? Tunaipenda Tanzania na tutailinda Tanzania. Tanzania ikivurugika hatuna pakwenda.

Polisi wamejieleza wazi kongamano la CHADEMA lilikuwa na viashilia vya kuvuruga amani. Je mlitaka wanyamaze nchi ivurugike. Viva polisi mbeya. Wakiwa na Nia njema waendelee tu. Wakiwa na Nia mbaya ya kuivuruga nchi ni vema wakamatwe. Amani yetu tutailinda bila hofu wala kutishwa. Tanzania imara Jeshi imara serikari makini.

Amani idumu na kila mtu atii sheria.

Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
 
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha chadema. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao. Je munataka Yale ya Kenya ya je hapa Tanzania 🇹🇿? Tuna ipenda Tanzania na tutailinda Tanzania. Tanzania ikivurugika hatuna pakwenda
Polisi wa mejieleza wazi kongamano la chadema Lili kuwa na viashilia vya kuvuruga amani. Je mulitaka wanyamanze nchi ivurugike. Viva polisi mbeya. Wakiwa na Nia njema waendelee tu. Wakiwa na Nia mbaya ya kuivuruga nchi ni vema wakamatwe. amani Yetu tutailinda bila hofu wala kutishwa. Tanzania imara Jeshi imara selikari making
Amani idumu na kila mtu atii sheria
 

Attachments

  • 5781825-51775523b226d8414338068b2d50cfec.mp4
    3 MB
Amani inavurugika wakiandamana CHADEMA tu??

Wamevunja sheria gan??

Mbona wameachiwa bila sababu bure??

Katibu wa CCM alimuagiza waziri awaachie kama nani serikalini???

Ila wakiandamana mboga mboga aahhh amani haivunjwi ....hii nchi ujinga wa watanzania ndio mtaji wa hawa viongozi wetu walafi.
 
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.

Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa Tanzania? Tunaipenda Tanzania na tutailinda Tanzania. Tanzania ikivurugika hatuna pakwenda.

Polisi wamejieleza wazi kongamano la CHADEMA lilikuwa na viashilia vya kuvuruga amani. Je mlitaka wanyamaze nchi ivurugike. Viva polisi mbeya. Wakiwa na Nia njema waendelee tu. Wakiwa na Nia mbaya ya kuivuruga nchi ni vema wakamatwe. Amani yetu tutailinda bila hofu wala kutishwa. Tanzania imara Jeshi imara serikari makini.

Amani idumu na kila mtu atii sheria.

Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Unapokamatwa unaambiwa makosa yako ni yapi na kwanini. Kuna viashiria vya kuvuruga amani , sawa waviwele wazi else watashindwa hata kujenga kesi
 
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.

Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa Tanzania? Tunaipenda Tanzania na tutailinda Tanzania. Tanzania ikivurugika hatuna pakwenda.

Polisi wamejieleza wazi kongamano la CHADEMA lilikuwa na viashilia vya kuvuruga amani. Je mlitaka wanyamaze nchi ivurugike. Viva polisi mbeya. Wakiwa na Nia njema waendelee tu. Wakiwa na Nia mbaya ya kuivuruga nchi ni vema wakamatwe. Amani yetu tutailinda bila hofu wala kutishwa. Tanzania imara Jeshi imara serikari makini.

Amani idumu na kila mtu atii sheria.

Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Wewe kweli member . Mbona walizunguka mikoa yote ya kaskazini huku maandamano yakiendelea Kenya?
Unafikir we ndo mtanzania kuliko wote sisi?
 
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.

Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa Tanzania? Tunaipenda Tanzania na tutailinda Tanzania. Tanzania ikivurugika hatuna pakwenda.

Polisi wamejieleza wazi kongamano la CHADEMA lilikuwa na viashilia vya kuvuruga amani. Je mlitaka wanyamaze nchi ivurugike. Viva polisi mbeya. Wakiwa na Nia njema waendelee tu. Wakiwa na Nia mbaya ya kuivuruga nchi ni vema wakamatwe. Amani yetu tutailinda bila hofu wala kutishwa. Tanzania imara Jeshi imara serikari makini.

Amani idumu na kila mtu atii sheria.

Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Kosa lao kumuumbua Rais kuwa kumbe zile 4Rs zake ilikuwa sanaa ya majukwaani tu
 
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.

Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa Tanzania? Tunaipenda Tanzania na tutailinda Tanzania. Tanzania ikivurugika hatuna pakwenda.

Polisi wamejieleza wazi kongamano la CHADEMA lilikuwa na viashilia vya kuvuruga amani. Je mlitaka wanyamaze nchi ivurugike. Viva polisi mbeya. Wakiwa na Nia njema waendelee tu. Wakiwa na Nia mbaya ya kuivuruga nchi ni vema wakamatwe. Amani yetu tutailinda bila hofu wala kutishwa. Tanzania imara Jeshi imara serikari makini.

Amani idumu na kila mtu atii sheria.

Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Kosa sio Mhe. Rais wala CCM, naamini maelekezo yalitoka kwa kiongozi mkuu wa bunge. Lile jimbo kwa sasa mpambano ni mkali sana hivyo anajaribu kupunguza pressure ya ushindani.
 
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.

Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa Tanzania? Tunaipenda Tanzania na tutailinda Tanzania. Tanzania ikivurugika hatuna pakwenda.

Polisi wamejieleza wazi kongamano la CHADEMA lilikuwa na viashilia vya kuvuruga amani. Je mlitaka wanyamaze nchi ivurugike. Viva polisi mbeya. Wakiwa na Nia njema waendelee tu. Wakiwa na Nia mbaya ya kuivuruga nchi ni vema wakamatwe. Amani yetu tutailinda bila hofu wala kutishwa. Tanzania imara Jeshi imara serikari makini.

Amani idumu na kila mtu atii sheria.

Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani

WATOTO WA MJINI Vs WAJANJA WA MJINI...!

Jeshi la Polisi Tanzania kwa siku hizi mbili wametumia si chini ya shillngi millioni 300 kwa kutengeneza hofu"fear of unknown" na kwenda kupambana na hofu waliyo jitengenezea wao wenyewe.

1.Hatua ya Kwanza walihakilisha wanamdanganya Mama wawa tu kuwa anaenda Kupinduliwa Mbeya na BAVICHA

2.Wakaokoteza hotuba za Twaha Mwaipaya (Mwenezi Bavicha) na Moza Ally (Makamu Mwenyekiti Bavicha) huko mitandaoni

3.Wakatengeneza taarifa feki ya Intelijensia uchwara na kuwapelekea wakubwa wao.

4.Wajanja wa TISS walijua ukweli kuwa hakuna mapinduzi yoyote yaliyopangwa kwa Jina la Gen Z

ila sababu ya tamaa ya "Madokezo Sabili" na wao wakaona pia kuna fursa ya Kulipana Posho za ufuatiliaji na udhibiti wakaliunga mkono Tango Pori (False information)

5.Mamlaka na Viongozi wa Serikali wakaingizwa mkenge na Watoto wa mjini,Wakapitisha Operesheni dhibiti BAVICHA

6.Serikali ya mkoa Mbeya ikapewa maagizo ya haraka,kuanza kukaa,Kupanga na Kudhibiti BAVICHA
Na wao wakasema "Allahamdulillah" hapa kuna Kulipana posho za bure.

7.Afande Awadhi akawasha chuma akiwa na dereva na Walinzi wake hadi Mbeya
alijua ukikaa Dodoma peke yake Dokezo linaweza Kukupita ujalamba Perdiem.

8.Afande Awadhi akaanza kufanya na majukumu ya Afande Misime ambaye alionekana kutojiongeza tangu mapema au sijui yupo bize na kesi ya Binti aliyebakwa na kulawitiwa..?

Basi Afande Awadhi kaanza kuwa Mkuu wa Operesheni kwa kutoa amri na vitisho,hapohapo akawa ndiyo Msemaji wa Jeshi la Polisi

Awadhi akawa kama Khalid Aucho pale Yanga ,yani anakupa alafu anaiomba tena.

Anatoa majukumu kwa Ma RPC alafu anasafiri kwenda Mbeya kufanya majukumu yale yale aliyotoa yeye akiwa Makao pale Dodoma...acha kabisaaaaa

Afande Misime sikazubaa bhanaa,shauri yake,kwenye Paylist ya Kusiaini Posho ataisikia tu redioni pale Makao.

9.Bavicha walivyo wahuni na wao,walipojua Maafande wana Mzigo wakajiongeza kimjini mjini.

Wakati wamepewa amri ya Kurudishwa makwao kwa magari ya Kukodi.

Wakawajibu mapolisi kuwa Kule Mbeya katibu Mkuu Mnyika ndiyo alikuwa anaenda Kulipa Pesa za Kukodi Magari na Kujaza mafuta ya Kurudia kumbe ela wanayo walichangishana laki laki.

Maafande wakaingia wazima wazima,Wakaanza Kulipa madereva na Kujaza mafuta njiani bureeee

Si ndiyo Madereva wakashtuana na wao,wakati wanawarudisha Bavicha makwao chini ya Ulinzi

"Oyaaa Maafande wana ela hawa"

Basi unaambiwa dereva anazimia gari katika gia ya "neutral" anaiweka pembeni.

Maafande wakija wanauliza mbona umesimama.? anaambiwa mafuta yameisha,Vijana wa Bavicha wanaulizwa nani ana ela ya Mafuta wanajibu Mnyikaaaaaaa

ndiyo alikuwa anaenda Kulipa magari.

Basi Maafande mtonyo si upo wa Kutosha,wanaagiza bodaboda dumu la mafuta,alafu wanamwambia Dereva ingia "sheli" weka full tank tuendelee na safari.

Watu weweeeee,Mjanja kakutana na Mjanja,Mpigaji kapigwa.

10.Ghafla viongozi wa CHADEMA, na BAVICHA wakiwa wameshikiliwa wanabembelezwa wapatiwe magari warudishwe makwao.

Sugu anawaambia kwangu mimi ni Mbeya,wakamwambia Sugu ni uongo huo,Usijifanye mjanja kwako wewe ni Dar unakofanyanga Bongo flavor honors

Sugu akabaki mdomo wazi..!

Masihala masihala Sugu akapewa Landcruiser mpyaaaa,maafande kama 7 hivi,full tank na posho wanampeleka nyumbani kwake Dar kutokea Mbeya.

Chezea mtonyo wewe.? hizi bahati hazijagi mara mbili mbili Bob.

11.Lissu wakaanza kumepeleka nyumbani kwake Songwe kutokea Mbeya.

Kufika maeneo ya Vwawa wanauliza bodaboda,nyumbani kwa Tundu Lissu ni wapi.?

Bodaboda wakawajibu Lissu kwake si Dar es saalam..? Maafande wakawakaaaa,wakawaambia mnatudanganya na mnajua kulifanganya jeshi la Polisi ni Kosa la Jinai..?

Wakawa wanataka kumpeleka Lissu nyumbani kwake Sumbawanga

kama siyo Tundu Lissu kudai dawa zake alizoziacha Dar,Tegeta ilikuwa waende naye Namanyere kule Rukwa.

Wakamuuliza Lissu,dawa zipo wapi.? Tundu akawajibu Tegeta,Dar es saalam,Wakamwambia tunakupeleka ufuate Dawa zako, alafu tunakurudisha nyumbani kwako Sumbawanga,usitufanye wajinga.

Kama siyo Lissu kufika Tegeta na Kugoma kutoka tena nje ya geti tena,muda huu huenda wangekuwa Mikumi wanampeleka nyumbani kwake Sumbawanga.

11.Mbowe ndiyo funga kazi,Kila akisema Kwangu ni Dar es saalam, Wanambishia wanamwambia kwako wewe ni Machame Mwenyekiti.

Mwenyekiti usitufanye wajinga,tunajua ulikuwa Mbunge wa Hai na tuliona nyumba yako mitandaoni ipo Machame

Mbowe akawaambia nimekuja na ndege mmenikamata Airport ya Songwe ,Ticket yangu ni "go and return" nimeshailipia nisipopanda ndege inakuwa imepotea bure.

nipelekeni airport tafadhali ndege ikija mnipandishe nirudi Dar es saalam.

Maafande Wakamwambia "Mwenyekiti acha Ubinafsi" ulipanda ndege utahujumu uchumi na mapato ya nchi na hilo ni kosa jipya kwa mujibu wa sheria.

Vituo vya mafuta havito uza mafuta,familia zetu zitakosa chakula,Mama lishe njiani hawatouza chakula,Matairi ya gari hayatoisha,vipuri vya gari havitoisha,Usijitizame wewe Mbowe tafadhali tazama na wenzio pia.

Mbowe akakubali kwake ni Machame akapewa Landcruiser hadi Dar es saalam alipoacha nguo zake ili aende kuzibeba kisha aende nao Machame,kama si Mbiwe kugoma kutoka ndani alikoingia kuchukua nguo muda huu angekuwa njiani Segera anarudishwa Machame.

Hatimaye Wahaini wakaachiwa wote bila masharti na bila kuwekewa dhamana na mtu yeyote kisha Wahaini wakapewa na Bonus ya usafiri wa kurudishwa makwao kama motisha kutoka Jeshi letu bora na tukufu la Polisi Tanzania.

ili siku nyingine wasiache kupanga tena mapinduzi dhidi ya serikali ya Samia.

Basi ndiyo hivyo ndugu wananchi,hivi ndiyo siku mbili hizi kodi zenu zilivyo tafunwa kirahisi kabisa na Wajanja.

Kama wewe ni fundi ujenzi au ni Mkuu wa shule na unamdai Afande Awadhi leo ndiyo siku ya Kumshtua japo kwa sms tu.

"Afande Awadhi habari za leo.? Pole na kazi.."

Ukipata chochote usiache kunikumbuka na mimi niliyekutonya ,nakuwekea na mawasiliano yangu usipate tabu kutuma muhamala .

Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239 595
 
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.

Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa Tanzania? Tunaipenda Tanzania na tutailinda Tanzania. Tanzania ikivurugika hatuna pakwenda.

Polisi wamejieleza wazi kongamano la CHADEMA lilikuwa na viashilia vya kuvuruga amani. Je mlitaka wanyamaze nchi ivurugike. Viva polisi mbeya. Wakiwa na Nia njema waendelee tu. Wakiwa na Nia mbaya ya kuivuruga nchi ni vema wakamatwe. Amani yetu tutailinda bila hofu wala kutishwa. Tanzania imara Jeshi imara serikari makini.

Amani idumu na kila mtu atii sheria.

Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Ukiwa na kosa ,je waliokamatwa walikua na makosa gani? Yani police tz kwamba inaweza amka kufungia watu mahala kama mifugo bila kosa at.

MUNGU wangu anasema kuna kimbunga chaja
 
Tumeshuhudia la wama nyingi katika mitandao ya kijamii wa kilaumu polisi mbeya kwa kuwatia nguvuni viongozi wa chama cha CHADEMA. Hivi ukiwa mpinzani ukikosea hutakiwi kukamatwa? Tanzania tunatakiwa kujipongeza kwa kuwa na jeshi imara na wanao jua kazi zao.

Je, mnataka Yale ya Kenya ya je hapa Tanzania? Tunaipenda Tanzania na tutailinda Tanzania. Tanzania ikivurugika hatuna pakwenda.

Polisi wamejieleza wazi kongamano la CHADEMA lilikuwa na viashilia vya kuvuruga amani. Je mlitaka wanyamaze nchi ivurugike. Viva polisi mbeya. Wakiwa na Nia njema waendelee tu. Wakiwa na Nia mbaya ya kuivuruga nchi ni vema wakamatwe. Amani yetu tutailinda bila hofu wala kutishwa. Tanzania imara Jeshi imara serikari makini.

Amani idumu na kila mtu atii sheria.

Pia soma: Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
CDM ni chama cha kisiasa halali kina viongozi kina ofisi kina kla lasilimali ya chama Hakiwwzi kukiuka sheria na taratibu za nchi, mara zote jedhi la polisi likijiingiza katka maswala ya siasa ndipo vurugu na uvunjifu waamani pamoja na vifo vinatokea. Waacheni wanasiasa wafanye siasa,;kama kuna mtu amezunguza matamshi mabaya mshikeni yeye na mchukulieni hatua. Ila matamshi aliyo yazumza Mwaipaya hayana shida yoyote hata Kidogo wala hatishii amani yoyote. Niseme tu kuwa kufanya siasa Afrika ni kazi sana
 
WATOTO WA MJINI Vs WAJANJA WA MJINI...!

Jeshi la Polisi Tanzania kwa siku hizi mbili wametumia si chini ya shillngi millioni 300 kwa kutengeneza hofu"fear of unknown" na kwenda kupambana na hofu waliyo jitengenezea wao wenyewe.

1.Hatua ya Kwanza walihakilisha wanamdanganya Mama wawa tu kuwa anaenda Kupinduliwa Mbeya na BAVICHA

2.Wakaokoteza hotuba za Twaha Mwaipaya (Mwenezi Bavicha) na Moza Ally (Makamu Mwenyekiti Bavicha) huko mitandaoni

3.Wakatengeneza taarifa feki ya Intelijensia uchwara na kuwapelekea wakubwa wao.

4.Wajanja wa TISS walijua ukweli kuwa hakuna mapinduzi yoyote yaliyopangwa kwa Jina la Gen Z

ila sababu ya tamaa ya "Madokezo Sabili" na wao wakaona pia kuna fursa ya Kulipana Posho za ufuatiliaji na udhibiti wakaliunga mkono Tango Pori (False information)

5.Mamlaka na Viongozi wa Serikali wakaingizwa mkenge na Watoto wa mjini,Wakapitisha Operesheni dhibiti BAVICHA

6.Serikali ya mkoa Mbeya ikapewa maagizo ya haraka,kuanza kukaa,Kupanga na Kudhibiti BAVICHA
Na wao wakasema "Allahamdulillah" hapa kuna Kulipana posho za bure.

7.Afande Awadhi akawasha chuma akiwa na dereva na Walinzi wake hadi Mbeya
alijua ukikaa Dodoma peke yake Dokezo linaweza Kukupita ujalamba Perdiem.

8.Afande Awadhi akaanza kufanya na majukumu ya Afande Misime ambaye alionekana kutojiongeza tangu mapema au sijui yupo bize na kesi ya Binti aliyebakwa na kulawitiwa..?

Basi Afande Awadhi kaanza kuwa Mkuu wa Operesheni kwa kutoa amri na vitisho,hapohapo akawa ndiyo Msemaji wa Jeshi la Polisi

Awadhi akawa kama Khalid Aucho pale Yanga ,yani anakupa alafu anaiomba tena.

Anatoa majukumu kwa Ma RPC alafu anasafiri kwenda Mbeya kufanya majukumu yale yale aliyotoa yeye akiwa Makao pale Dodoma...acha kabisaaaaa

Afande Misime sikazubaa bhanaa,shauri yake,kwenye Paylist ya Kusiaini Posho ataisikia tu redioni pale Makao.

9.Bavicha walivyo wahuni na wao,walipojua Maafande wana Mzigo wakajiongeza kimjini mjini.

Wakati wamepewa amri ya Kurudishwa makwao kwa magari ya Kukodi.

Wakawajibu mapolisi kuwa Kule Mbeya katibu Mkuu Mnyika ndiyo alikuwa anaenda Kulipa Pesa za Kukodi Magari na Kujaza mafuta ya Kurudia kumbe ela wanayo walichangishana laki laki.

Maafande wakaingia wazima wazima,Wakaanza Kulipa madereva na Kujaza mafuta njiani bureeee

Si ndiyo Madereva wakashtuana na wao,wakati wanawarudisha Bavicha makwao chini ya Ulinzi

"Oyaaa Maafande wana ela hawa"

Basi unaambiwa dereva anazimia gari katika gia ya "neutral" anaiweka pembeni.

Maafande wakija wanauliza mbona umesimama.? anaambiwa mafuta yameisha,Vijana wa Bavicha wanaulizwa nani ana ela ya Mafuta wanajibu Mnyikaaaaaaa

ndiyo alikuwa anaenda Kulipa magari.

Basi Maafande mtonyo si upo wa Kutosha,wanaagiza bodaboda dumu la mafuta,alafu wanamwambia Dereva ingia "sheli" weka full tank tuendelee na safari.

Watu weweeeee,Mjanja kakutana na Mjanja,Mpigaji kapigwa.

10.Ghafla viongozi wa CHADEMA, na BAVICHA wakiwa wameshikiliwa wanabembelezwa wapatiwe magari warudishwe makwao.

Sugu anawaambia kwangu mimi ni Mbeya,wakamwambia Sugu ni uongo huo,Usijifanye mjanja kwako wewe ni Dar unakofanyanga Bongo flavor honors

Sugu akabaki mdomo wazi..!

Masihala masihala Sugu akapewa Landcruiser mpyaaaa,maafande kama 7 hivi,full tank na posho wanampeleka nyumbani kwake Dar kutokea Mbeya.

Chezea mtonyo wewe.? hizi bahati hazijagi mara mbili mbili Bob.

11.Lissu wakaanza kumepeleka nyumbani kwake Songwe kutokea Mbeya.

Kufika maeneo ya Vwawa wanauliza bodaboda,nyumbani kwa Tundu Lissu ni wapi.?

Bodaboda wakawajibu Lissu kwake si Dar es saalam..? Maafande wakawakaaaa,wakawaambia mnatudanganya na mnajua kulifanganya jeshi la Polisi ni Kosa la Jinai..?

Wakawa wanataka kumpeleka Lissu nyumbani kwake Sumbawanga

kama siyo Tundu Lissu kudai dawa zake alizoziacha Dar,Tegeta ilikuwa waende naye Namanyere kule Rukwa.

Wakamuuliza Lissu,dawa zipo wapi.? Tundu akawajibu Tegeta,Dar es saalam,Wakamwambia tunakupeleka ufuate Dawa zako, alafu tunakurudisha nyumbani kwako Sumbawanga,usitufanye wajinga.

Kama siyo Lissu kufika Tegeta na Kugoma kutoka tena nje ya geti tena,muda huu huenda wangekuwa Mikumi wanampeleka nyumbani kwake Sumbawanga.

11.Mbowe ndiyo funga kazi,Kila akisema Kwangu ni Dar es saalam, Wanambishia wanamwambia kwako wewe ni Machame Mwenyekiti.

Mwenyekiti usitufanye wajinga,tunajua ulikuwa Mbunge wa Hai na tuliona nyumba yako mitandaoni ipo Machame

Mbowe akawaambia nimekuja na ndege mmenikamata Airport ya Songwe ,Ticket yangu ni "go and return" nimeshailipia nisipopanda ndege inakuwa imepotea bure.

nipelekeni airport tafadhali ndege ikija mnipandishe nirudi Dar es saalam.

Maafande Wakamwambia "Mwenyekiti acha Ubinafsi" ulipanda ndege utahujumu uchumi na mapato ya nchi na hilo ni kosa jipya kwa mujibu wa sheria.

Vituo vya mafuta havito uza mafuta,familia zetu zitakosa chakula,Mama lishe njiani hawatouza chakula,Matairi ya gari hayatoisha,vipuri vya gari havitoisha,Usijitizame wewe Mbowe tafadhali tazama na wenzio pia.

Mbowe akakubali kwake ni Machame akapewa Landcruiser hadi Dar es saalam alipoacha nguo zake ili aende kuzibeba kisha aende nao Machame,kama si Mbiwe kugoma kutoka ndani alikoingia kuchukua nguo muda huu angekuwa njiani Segera anarudishwa Machame.

Hatimaye Wahaini wakaachiwa wote bila masharti na bila kuwekewa dhamana na mtu yeyote kisha Wahaini wakapewa na Bonus ya usafiri wa kurudishwa makwao kama motisha kutoka Jeshi letu bora na tukufu la Polisi Tanzania.

ili siku nyingine wasiache kupanga tena mapinduzi dhidi ya serikali ya Samia.

Basi ndiyo hivyo ndugu wananchi,hivi ndiyo siku mbili hizi kodi zenu zilivyo tafunwa kirahisi kabisa na Wajanja.

Kama wewe ni fundi ujenzi au ni Mkuu wa shule na unamdai Afande Awadhi leo ndiyo siku ya Kumshtua japo kwa sms tu.

"Afande Awadhi habari za leo.? Pole na kazi.."

Ukipata chochote usiache kunikumbuka na mimi niliyekutonya ,nakuwekea na mawasiliano yangu usipate tabu kutuma muhamala .

Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239 595
Kwahiyo polisi walipanga Dili la kula pesa za walipakodi. Kila polisi kalipwa kaposho kala Kwa urefu wa kamba yake. Wanacheza sana na akili za serikali yetu masikini.
 
Kosa lao ni kumpiga Sugu kichwa hadi kameza ulimi na lingine kumbeba mwenyekiti Mbowe kutoka Mbeya hadi nyumbani kwake wakamkabidhi kwa familia yake kama vile mtoto aliepotea njia
 
CDM ni chama cha kisiasa halali kina viongozi kina ofisi kina kla lasilimali ya chama Hakiwwzi kukiuka sheria na taratibu za nchi, mara zote jedhi la polisi likijiingiza katka maswala ya siasa ndipo vurugu na uvunjifu waamani pamoja na vifo vinatokea. Waacheni wanasiasa wafanye siasa,;kama kuna mtu amezunguza matamshi mabaya mshikeni yeye na mchukulieni hatua. Ila matamshi aliyo yazumza Mwaipaya hayana shida yoyote hata Kidogo wala hatishii amani yoyote. Niseme tu kuwa kufanya siasa Afrika ni kazi sana
ndiyo maana wapinzani wanakimbilia CCM kuogopa mambo kama haya. Tunaelekea Uchaguzi hali itakuwa mbaya zaidi!
 
Back
Top Bottom