Huyu jamaa ni hasara sana na sijui kwa nini ameaniwa kupewa timu huku utopolo umejaa kichwani.
Azam haiwezi kufika popote iwapo timu ipo kwa ajili ya kushindana na Simba tu. Timu lazima iwe na malengo ya kisoka
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Azam haiwezi kufika popote iwapo timu ipo kwa ajili ya kushindana na Simba tu. Timu lazima iwe na malengo ya kisoka
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app