Viporo tutapasha tu hakuna namna, viporo vingine huwezi kuviepuka.
Koh koh koh
Kinacholeta ngoma ni misuguano ya hatari. Ukipiga kimoja cha fasta na hakuna ki friction chochote jua umepona mbona. Demu akiwa na ulaini wa kutosha huwa haina madhara. Ukitumia kilainishi pia ni 99% safe option hata usipotumia kinga provided hauna mchubuko kwenye mtwangio wako.Hiyo mpya kwangu, kwamba siku moja mtu hapati ngoma?
hii hatariNi kijana aliejaaliwa kuwa na familia yake mke mzuri na watoto wawili, miaka kadhaa imepita alikua kwenye mahusiano na binti mmoja walipendana ila bahati mbaya uhusiano uliisha hawakuweza kuoana kwa sababu ya tofauti ya dini zao kila mmoja akiwa na imani kali kwa dini yake. Kila mmoja alimbembeleza mwenzie amfate dini yake ikashindikana basi wakaachana kwa heri na kubaki marafiki.
Baada ya muda kupita kijana kapata mwanamke wa dini yake,wakafunga ndoa, lakini mawasiliano na yule x hayakuisha. Mdada akiwa na shida jamaa yupo kwa ajili yake anamsaidia. Mwanaume alikua kijana safi katika ndoa yake hakuwahi kumsaliti mkewe kwa kufanya kitu kibaya, hata x hakuwa akimla ni mawasiliano na kumsaidia shida zake.
Ilipita miaka mitano, siku moja x akamuomba waonane ana shida sana, kijana kwa mara ya kwanza akaenda kumsikiliza, kamkuta dada kajiweka na kanga moko huku msambwanda ukijidhihirisha kuwa dunia ni duara, shetani ana nguvu kuliko break down, kanga ikadondoshwa kaka kala mzigo karudi kwake.
Baada ya miezi kupita, x kavunja ukimya hesabu zake zikiwa tayari muda huo jamaa atakua kala sana nyumbani, akatuma msg kwa wife nendeni mkapime afya, we si uliolewa nikaachwa mie, zimepita siku kupima jamaa kaukwaa miaka mitano yooote x anapanga revenge tu ilhali waliachana poa.
Nawakumbusha microwave wapasha viporo, usione kutunukuwa ukahisi kamiss pigo zako za kichina, we kuendelea na maisha mwenzio hayamuendei usidhani anafurahi. Alamsik!
hii hatari
Hii sio mwanamke tu, mtu yeyote akiamua anafanya...Duuuh...! Asante Evelyn Salt kukumbusha wapasha viporo.
Pamoja na yote huyo mdada ni muuaji mkubwa. Ni shetani hiyo,hafai kuishi na wenzie. Japo amejifia anapaswa apigwe tukio na yeye la kukumbukwa maisha yake yote yaliyobakia.
Kama nimejitqmbua naumwa katika vitu ambavyo asilani siwezi kuvifanya hapa duniani ni kumwambukiza mwingine kwa makusudi. Never. (IKIFIKA HATUA HIZO ZA MAAMUZI MAGUMU YA MWISHO HAPO NDIPO NINAPOUSHUSHA UWEZO WA UFIKIRI WA MWANAMKE. HAPO NDIPO NINAPOKOSA IMANI NA KIUMBE MWANAMKE. HAPO NDIPO NAUPIMA UKATIRI WA MWANAMKE).
Katika vitu ambavyo pia siwezi kuvifanya ni kujitupia kwa mwanamke bila kumpima. Katika vitu vimekaa kwenye kumbukumbu zangu ni kutomla mwanamke kabla sijampima hata aniwekee ziro distance.
Eeh tunapakazana miwaya tuu hakuna mifo kisi ho na sababu. Ukimwi nao ni sababuHii sio mwanamke tu, mtu yeyote akiamua anafanya...
Muzee ya mbususu mzabzab mara kadhaa anaandika pia, alipewa ukimwi kwahiyo nae anawagawia tu watu ๐น
HahahaHatari sana
Chat.unachart chart halafu ghafla unaingia jf unakutana na waraka,
mambo yanachanganya.View attachment 3179850
๐๐unachart chart halafu ghafla unaingia jf unakutana na waraka,
mambo yanachanganya.View attachment 3179850
Sio mimi mkuu!
Hahahanisiwe mnafiki huu uzi unafundisha ndio ila siwez kuusubscribe
Nilidhani ni weweSio mimi mkuu!