Kosa ni kupasha kiporo...

Hiyo mpya kwangu, kwamba siku moja mtu hapati ngoma?
Kinacholeta ngoma ni misuguano ya hatari. Ukipiga kimoja cha fasta na hakuna ki friction chochote jua umepona mbona. Demu akiwa na ulaini wa kutosha huwa haina madhara. Ukitumia kilainishi pia ni 99% safe option hata usipotumia kinga provided hauna mchubuko kwenye mtwangio wako.

Mechi za viporo huwa unakuta mtu hapigi kimoja tu. Anapeleka moto wa hatari hata bao 3 hadi k inakauka sababu ameimiss mbunye na demu kama ana nia ya kukuua anaweza hata kukuparua na vuzi au kucha wakati wa kuichomeka. Huwezi sanuka sababu hutajua intention yake ila ndio hivyo life inapotea.
 
hii hatari
 
Duuuh...! Asante Evelyn Salt kukumbusha wapasha viporo.

Pamoja na yote huyo mdada ni muuaji mkubwa. Ni shetani hiyo,hafai kuishi na wenzie. Japo amejifia anapaswa apigwe tukio na yeye la kukumbukwa maisha yake yote yaliyobakia.

Kama nimejitqmbua naumwa katika vitu ambavyo asilani siwezi kuvifanya hapa duniani ni kumwambukiza mwingine kwa makusudi. Never. (IKIFIKA HATUA HIZO ZA MAAMUZI MAGUMU YA MWISHO HAPO NDIPO NINAPOUSHUSHA UWEZO WA UFIKIRI WA MWANAMKE. HAPO NDIPO NINAPOKOSA IMANI NA KIUMBE MWANAMKE. HAPO NDIPO NAUPIMA UKATIRI WA MWANAMKE).

Katika vitu ambavyo pia siwezi kuvifanya ni kujitupia kwa mwanamke bila kumpima. Katika vitu vimekaa kwenye kumbukumbu zangu ni kutomla mwanamke kabla sijampima hata aniwekee ziro distance.
 
Hii sio mwanamke tu, mtu yeyote akiamua anafanya...
Muzee ya mbususu mzabzab mara kadhaa anaandika pia, alipewa ukimwi kwahiyo nae anawagawia tu watu ๐Ÿ˜น
 
unachart chart halafu ghafla unaingia jf unakutana na waraka,

mambo yanachanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ