Kosa ni kupasha kiporo...

Mwanajeshi akiwa vitani haogopi kifo
 
Asalam alekhum!!!

Kiporo kinanifuatilia kama huyo Kaka tobaaaa
 
Hahahaha umenikumbusha my x tuliachana akiwa bado ananipenda baada ya two years akawa anataka tupashe kiporo nikagoma sasa baadae nikaja jua kaukwaa na mwanae hamyonyeshi alitaka aniambukize na mm nikawa nimepona, uroho sio mzuri
 
Angeweza kuyaepuka asingeenda kwake mana wakutanapo jinsia mbili ke na me sehem za wao peke yao hutokea hivo

Ndio mana kila siku tunasemaga wengine, ni heri kukata mawasiliano jumla na ex, haijaliahi mmeachana kwa style gan unaepuka mengi kama haya

Halaf mmeachana muda sana walipaswa hata kupima mana kila mmoja alipita njia anzojua yeye hilo hawakulikumbuka na hata angekumbuka dada kwa nia yake angeshikilia watapima siku zingine jinsi wanawake tuna hila

Pole yao.
 
Kiporo ukiendelea kukihudumia ipo siku utakipasha tu maana unakitunza na kinatunzika.
Mungu mkubwa ndie atulindae na sisi twamtegemea yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…