Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Achana naye nguchiro yule InnaNikakuletee Inna?
Cyo omo tu mkuu, hata tossiMwenda tezi na omo marudio ngamani
Achaa utani mkuu mbona unaniogopesha aisee[emoji47][emoji47][emoji24][emoji24]Hahahaha umenikumbusha my x tuliachana akiwa bado ananipenda baada ya two years akawa anataka tupashe kiporo nikagoma sasa baadae nikaja jua kaukwaa na mwanae hamyonyeshi alitaka aniambukize na mm nikawa nimepona, uroho sio mzuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Achana naye nguchiro yule Inna
Ni kijana aliejaaliwa kuwa na familia yake mke mzuri na watoto wawili, miaka kadhaa imepita alikua kwenye mahusiano na binti mmoja walipendana ila bahati mbaya uhusiano uliisha hawakuweza kuoana kwa sababu ya tofauti ya dini zao kila mmoja akiwa na imani kali kwa dini yake. Kila mmoja alimbembeleza mwenzie amfate dini yake ikashindikana basi wakaachana kwa heri na kubaki marafiki.
Baada ya muda kupita kijana kapata mwanamke wa dini yake,wakafunga ndoa, lakini mawasiliano na yule x hayakuisha. Mdada akiwa na shida jamaa yupo kwa ajili yake anamsaidia. Mwanaume alikua kijana safi katika ndoa yake hakumsaliti kwa kufanya kitu kibaya, hata x hakuwa akimla ni mawasiliano na kumsaidia shida zake.
Ilipita miaka mitano, siku moja x akamuomba waonane ana shida sana, kijana kwa mara ya kwanza akaenda kumsikiliza, kamkuta dada kajiweka na kanga moko huku msambwanda ukijidhihirisha kuwa dunia ni duara, shetani ana nguvu kuliko break down, kanga ikadondoshwa kaka kala mzigo karudi kwake.
Baada ya miezi kupita, x kavunja ukimya hesabu zake zikiwa tayari muda huo jamaa atakua kala sana nyumbani, akatuma msg kwa wife nendeni mkapime afya, zimepita siku kupima jamaa kaukwaa, miaka mitano yooote x anapanga revenge tu ilhali waliachana poa.
Nawakumbusha microwave wapasha viporo, usione kutunukuwa ukahisi kamiss pigo zako za kichina, we kuendelea na maisha mwenzio hayamuendei usidhani anafurahi. Alamsik!
Mr microwave kuwa makinikiporo kinapashwa tena kwa roho saaafi, acha kutupiga mikwara sisi akina microwave
Tukipasha tusiache kutumia KingaNawakumbusha microwave wapasha viporo, usione kutunukuwa ukahisi kamiss pigo zako za kichina, we kuendelea na maisha mwenzio hayamuendei usidhani anafurahi. Alamsik!
Miss u mchumbaWw ni x au wife kwny hii story?!
mh umenitisha!!Ni kijana aliejaaliwa kuwa na familia yake mke mzuri na watoto wawili, miaka kadhaa imepita alikua kwenye mahusiano na binti mmoja walipendana ila bahati mbaya uhusiano uliisha hawakuweza kuoana kwa sababu ya tofauti ya dini zao kila mmoja akiwa na imani kali kwa dini yake. Kila mmoja alimbembeleza mwenzie amfate dini yake ikashindikana basi wakaachana kwa heri na kubaki marafiki.
Baada ya muda kupita kijana kapata mwanamke wa dini yake,wakafunga ndoa, lakini mawasiliano na yule x hayakuisha. Mdada akiwa na shida jamaa yupo kwa ajili yake anamsaidia. Mwanaume alikua kijana safi katika ndoa yake hakumsaliti kwa kufanya kitu kibaya, hata x hakuwa akimla ni mawasiliano na kumsaidia shida zake.
Ilipita miaka mitano, siku moja x akamuomba waonane ana shida sana, kijana kwa mara ya kwanza akaenda kumsikiliza, kamkuta dada kajiweka na kanga moko huku msambwanda ukijidhihirisha kuwa dunia ni duara, shetani ana nguvu kuliko break down, kanga ikadondoshwa kaka kala mzigo karudi kwake.
Baada ya miezi kupita, x kavunja ukimya hesabu zake zikiwa tayari muda huo jamaa atakua kala sana nyumbani, akatuma msg kwa wife nendeni mkapime afya, zimepita siku kupima jamaa kaukwaa, miaka mitano yooote x anapanga revenge tu ilhali waliachana poa.
Nawakumbusha microwave wapasha viporo, usione kutunukuwa ukahisi kamiss pigo zako za kichina, we kuendelea na maisha mwenzio hayamuendei usidhani anafurahi. Alamsik!
Trust No Onemh umenitisha!!
kumbe mtu anaweza kuwa na roho mbaya kiasi hiki.
Kupasha nakoo so mzeeKuna manzi alikuwa anarudirudi huku najua tulipoachana kuna msela alikuwa anammega na msela mwenyewe inasemekana kawaka, nikakwambia kapime uje na majibu maana hamimu nasikia ana ngoma, akajifanya kukataa hamimu ndo nani ila mpaka leo hajanitafuta tena na viporo nimekoma
Hata mi nilishangaa kwakweli kisasi miaka mitano anasubiri tu, ukizingatia jamaa hana kosa alimwambia achange dini amuoe akakataa. Akaishia kumwambia wife "si umeolewa wewe mi nikaachwa kapimeni"mh umenitisha!!
kumbe mtu anaweza kuwa na roho mbaya kiasi hiki.