Kosa ni kupasha kiporo...

Dahhh Watu roho mbayaa
 
Duhhh!!
 
Eti mwanaume alikuwa kijana safi hajawahi kusaliti kwenye ndoa yake, nimekucheeeeki nikase hiiiii hiiii
 
Hahahaha umenikumbusha my x tuliachana akiwa bado ananipenda baada ya two years akawa anataka tupashe kiporo nikagoma sasa baadae nikaja jua kaukwaa na mwanae hamyonyeshi alitaka aniambukize na mm nikawa nimepona, uroho sio mzuri
Hahaha Bahati yako Mr Ungepasha tu mzee ndo ungejua kwa nini kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…