Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Gelofriend nimemeza mate, hapana chezea kiporo cha wali ndondoHakifikii cha wali maharage + chai ya maziwa teh
Hiki chakula kinapendwa sana ila mimi sikipendi, chakula kinachohusu mchele nipendacho ni pilau tu.
Uje unipikie nione utamu wakeHiki chakula kinapendwa sana ila mimi sikipendi, chakula kinachohusu mchele nipendacho ni pilau tu.
Kwamba kuna watu wanaogopa ukimwi
Katika vitu ambavyo siogopi kabisa hata nikiambiwa positive sishtuki, ni VVU/UKIMWI, naogopa magonjwa ya moyo, kansa, kisukari na shinikizo la damu(pressure).Yataka moyo
HongeraKatika vitu ambavyo siogopi kabisa hata nikiambiwa positive sishtuki, ni VVU/UKIMWI, naogopa magonjwa ya moyo, kansa, kisukari na shinikizo la damu(pressure).
Haya.Uje unipikie nione utamu wake
Kwakweli siupendi.Khaaa so ubwabwa wa kawaida ni nehi? nehi
Alikuwa hajijui, ndo first time nilimpima mmHuyo mwanamke alikubalije kupimwa wakati akijijua afya yake?
Ndo hivo, sasa ex aone jamaa kawa na familia ye anadoda tu geto kwake, kaona isiwe tabu wakose woteMa - Ex's Wetu Mara Nyingi Tukikutana Nao Huwa Wanatamani Watuone Tumepigika Zaidi.Hata Umtumie Text Unaomba Akukope Hata Angalau 10K.
Muda Mwingine Anatamani Akuone Umekonda Sana Huna Afya Ya Kuridhisha, Kwake Ndio Furaha.
Au Akuone Kila Siku Unagombana Na Konda Kuhusu Nauli.
Hii ni true.... !Kinachoniudhi kabisa ni hiki:
Watu mmekutana, mkavutiwa nakutaka kuanzisha mahusiano. SAWA
Katika kufahamiana mkagundua IMANI zenu ni tofauti. Tena mna IMANI KALI. SAWA
KWANZA KABISA: Imani kali na bado mnazini, ni imani gani hizi...lakini SAWA
Mnaendelea hadi kuzalishana kisha mnatumia kisingizio cha imani kuachana.
HII SI SAWA kabisa.
Kama mmetamaniana...tianeni tu ila chukueni hatua kujikinga na maradhi na mimba zisizotarajiwa hadi pale mtakapopata wenza wenu.
Au kuna mmoja anakuwa anamdanganya mwenzake kuwa atabadili dini? Au mtasingizia wazazi? SI SAWA KABISA
Acheni ujinga huu wa kuzalishana halafu mnajifanya DINI KALI...dini kali wapi wazinzi watupu!
ACHENI HIZO.
Unapotunga uongo basi angalia unawaambia akina nani!Ukimwi upo aisee, nakumbuka mke wangu niliyenaye. Kipnd tupo kweny mahusiano nilikuwa bingwa wa kucheat. Wakt yy ni mwaminifu siku moja niliopoa demu mlokole, nkamtongoza akazama, nkachukua vipimo vya VVU na condomu. Kufka getho nkasema nigonge bila kondomu bao mbili half nimpime ili niendelee nyama nyama. Nkaanza game ila kondomu kila nilivyobadilisha ilikuwa INA damu. Nkamaliza nkasema nimpime, ile kuweka damu tu ngoma ikasoma POSITIVE. tangu siku ile nkaokoka, now SITAKI usaliti. MUNGU aliniepusha na UKIMWI
Viporo tutapasha tu hakuna namna, viporo vingine huwezi kuviepuka.Ni kijana aliejaaliwa kuwa na familia yake mke mzuri na watoto wawili, miaka kadhaa imepita alikua kwenye mahusiano na binti mmoja walipendana ila bahati mbaya uhusiano uliisha hawakuweza kuoana kwa sababu ya tofauti ya dini zao kila mmoja akiwa na imani kali kwa dini yake. Kila mmoja alimbembeleza mwenzie amfate dini yake ikashindikana basi wakaachana kwa heri na kubaki marafiki.
Baada ya muda kupita kijana kapata mwanamke wa dini yake,wakafunga ndoa, lakini mawasiliano na yule x hayakuisha. Mdada akiwa na shida jamaa yupo kwa ajili yake anamsaidia. Mwanaume alikua kijana safi katika ndoa yake hakuwahi kumsaliti mkewe kwa kufanya kitu kibaya, hata x hakuwa akimla ni mawasiliano na kumsaidia shida zake.
Ilipita miaka mitano, siku moja x akamuomba waonane ana shida sana, kijana kwa mara ya kwanza akaenda kumsikiliza, kamkuta dada kajiweka na kanga moko huku msambwanda ukijidhihirisha kuwa dunia ni duara, shetani ana nguvu kuliko break down, kanga ikadondoshwa kaka kala mzigo karudi kwake.
Baada ya miezi kupita, x kavunja ukimya hesabu zake zikiwa tayari muda huo jamaa atakua kala sana nyumbani, akatuma msg kwa wife nendeni mkapime afya, we si uliolewa nikaachwa mie, zimepita siku kupima jamaa kaukwaa miaka mitano yooote x anapanga revenge tu ilhali waliachana poa.
Nawakumbusha microwave wapasha viporo, usione kutunukuwa ukahisi kamiss pigo zako za kichina, we kuendelea na maisha mwenzio hayamuendei usidhani anafurahi. Alamsik!
Koh koh kohViporo tutapasha tu hakuna namna, viporo vingine huwezi kuviepuka.
Nimepata kituNi kijana aliejaaliwa kuwa na familia yake mke mzuri na watoto wawili, miaka kadhaa imepita alikua kwenye mahusiano na binti mmoja walipendana ila bahati mbaya uhusiano uliisha hawakuweza kuoana kwa sababu ya tofauti ya dini zao kila mmoja akiwa na imani kali kwa dini yake. Kila mmoja alimbembeleza mwenzie amfate dini yake ikashindikana basi wakaachana kwa heri na kubaki marafiki.
Baada ya muda kupita kijana kapata mwanamke wa dini yake,wakafunga ndoa, lakini mawasiliano na yule x hayakuisha. Mdada akiwa na shida jamaa yupo kwa ajili yake anamsaidia. Mwanaume alikua kijana safi katika ndoa yake hakuwahi kumsaliti mkewe kwa kufanya kitu kibaya, hata x hakuwa akimla ni mawasiliano na kumsaidia shida zake.
Ilipita miaka mitano, siku moja x akamuomba waonane ana shida sana, kijana kwa mara ya kwanza akaenda kumsikiliza, kamkuta dada kajiweka na kanga moko huku msambwanda ukijidhihirisha kuwa dunia ni duara, shetani ana nguvu kuliko break down, kanga ikadondoshwa kaka kala mzigo karudi kwake.
Baada ya miezi kupita, x kavunja ukimya hesabu zake zikiwa tayari muda huo jamaa atakua kala sana nyumbani, akatuma msg kwa wife nendeni mkapime afya, we si uliolewa nikaachwa mie, zimepita siku kupima jamaa kaukwaa miaka mitano yooote x anapanga revenge tu ilhali waliachana poa.
Nawakumbusha microwave wapasha viporo, usione kutunukuwa ukahisi kamiss pigo zako za kichina, we kuendelea na maisha mwenzio hayamuendei usidhani anafurahi. Alamsik!