Kotei, Dante Wafungiwa

Kotei, Dante Wafungiwa

Kanali G

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
9,898
Reaction score
14,413
Kiungo wa Simba James Kotei na Beki wa Yanga Andrew Vicent wamefungiwa mechi tatu kwa kosa la kumpiga Gadiel Michael na Mohamed Hussein, wote wamepigwa faini ya tshs Milioni moja.
 
Tunashirikisho linalo ongozwa na Vilaza nchii sijapata kuona
ndio maana Tim ya Taifa Ipo hovyo hovyo
 
Ngoja tutafute
ya kuwalipa wachezaji wa Taifa star
 
Jiulize na wa simba naye atalipa nini? Au bosi kaonekana
Pesa za uwekezaji wake zipo simva tayari na mikataba ipo familia itasimamia likitokea baya tusilolitaka
 
Back
Top Bottom