mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Sisi binadamu tunapaswa kuwa wasafi kimwili maana tusipofanya hivyo tutakuwa na harufu mbaya sana. Mfano unafanya kazi katika mazingira yanayosababisha kutokwa jasho katika mwili.
Usipooga unakuwa unatoa harufu mbaya sana. Hasa hasa kuna baadhi ya watu ambao wakioga hawazingatii usafi wa sehemu zao nyeti Mfano kwenye kwapa. Hili nimewahi kuliona kwa watu wengi tu ila kuwaelezea ndo inakuwa ngumu.
Unakuta mtu kwapa lake lina vinyweleo na anapokuwa anaoga hapsugui kwapani na matokeo yake vile vinyweleo vinakuwa kama vile utandu fulani.
Yaani ukiona hadi kinyaa maana mtauliza nilionaje lakini ni kitu kiko wazi maana mtu akivaa nguo haina mikono mirefu ni rahisi kuona.
Mfano unaweza ukamkuta dada mzuri tena mrembo lakini usafi wa kwapani anashindwa ila ni aibu sana. Kama umeguswa na hili jaribu kujirekebisha.
Usipooga unakuwa unatoa harufu mbaya sana. Hasa hasa kuna baadhi ya watu ambao wakioga hawazingatii usafi wa sehemu zao nyeti Mfano kwenye kwapa. Hili nimewahi kuliona kwa watu wengi tu ila kuwaelezea ndo inakuwa ngumu.
Unakuta mtu kwapa lake lina vinyweleo na anapokuwa anaoga hapsugui kwapani na matokeo yake vile vinyweleo vinakuwa kama vile utandu fulani.
Yaani ukiona hadi kinyaa maana mtauliza nilionaje lakini ni kitu kiko wazi maana mtu akivaa nguo haina mikono mirefu ni rahisi kuona.
Mfano unaweza ukamkuta dada mzuri tena mrembo lakini usafi wa kwapani anashindwa ila ni aibu sana. Kama umeguswa na hili jaribu kujirekebisha.