hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 454
Kuna dhana imejengeka kwa watu wengi na sasa inaelekea kuwa ndo ilivyo
Utakutana na mtu akishakuuliza jina tu basi na jibu la imani yako anakua nalo!
Sasa kuna hawa wengine wanao amini kama humuabudu allah wala God/jesus wewe basi huna mungu.
Kiasili mwanadamu awaye yote yule ni lazima aabudu...sasa kuabudu ni hali ya kujishusha na kusurrender kwa mamlaka ya juu,iliyo juu ya upeo wa fikra zetu wanadamu. Ndiyo maana ni rahisi kukuta jamii haina shule wala zahanati lakini sehemu za madhabahu utazikuta.
Niwaambie ndugu zangu wakristo na waislamu kuwa si kila asiyeamini katika miungu yao basi ni mkana Mungu.
Idadi ya wakristo na waislamu duniani haizidi bil 3,na dunia ina watu wapatao bil 8.
imani ina nguvu
Imani inaponya
Imani inatenda
Dini inafitinisha
Dini inagawanya
Dini inaondoa amani(gaza na israel)
Utakutana na mtu akishakuuliza jina tu basi na jibu la imani yako anakua nalo!
Sasa kuna hawa wengine wanao amini kama humuabudu allah wala God/jesus wewe basi huna mungu.
Kiasili mwanadamu awaye yote yule ni lazima aabudu...sasa kuabudu ni hali ya kujishusha na kusurrender kwa mamlaka ya juu,iliyo juu ya upeo wa fikra zetu wanadamu. Ndiyo maana ni rahisi kukuta jamii haina shule wala zahanati lakini sehemu za madhabahu utazikuta.
Niwaambie ndugu zangu wakristo na waislamu kuwa si kila asiyeamini katika miungu yao basi ni mkana Mungu.
Idadi ya wakristo na waislamu duniani haizidi bil 3,na dunia ina watu wapatao bil 8.
imani ina nguvu
Imani inaponya
Imani inatenda
Dini inafitinisha
Dini inagawanya
Dini inaondoa amani(gaza na israel)