Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
Wakati Kamala anamtukana Dr. Slaa kwamba ni Mbumbumbu, wakati wagombea Ubunge wa CCM wakimtukana Dr. Slaa juu ya Mahusiano yake akina Kova walikuwa Wanakenua Meno. Sasa Yamemkuta Mku wa Kaya mnaanza kuhangaika. Jana Hadija Kopa amemtuna Dr. Slaa Mkaendeea kukenua Meno huku mkiinua Vodole Juu kuitikia Mipasho ya Hadija Kopa
Akitunakwa Dr. Slaa poa tu kwa Sababu ametukana Mgombea wa Urais, Akitukanwa Kikwete ametukanwa Rais
Mkiwa Fair mtaheshimika ila mkiwa Biased hamtaheshimika
Akitunakwa Dr. Slaa poa tu kwa Sababu ametukana Mgombea wa Urais, Akitukanwa Kikwete ametukanwa Rais
Mkiwa Fair mtaheshimika ila mkiwa Biased hamtaheshimika