Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diagnosing stroke
Huo ni ugonjwa wa khatari sana na ugonjwa huu hauwezekani na madawa yoyote isipokuwa yale ya kienyeji tu. Pole sana.
a.Ama kwa huduma ya kwanza tumia, udil karaha kwa wingi,Habbat soda unga vijiko vitano,Asali vijiko vitano, Hii ni kwa ajili ya kula, Ama kwa ajili ya kupakaa ni mafuta ya zaituni vijiko viwili 1x2 wiki moja.
b.Tiba Mbadala kwa ukamilifu kwa idhni ya Allah:
1.Bakalhad
2.manimani
3.Ubani dhukra
4.mustaki
5.kungu manga
6.habbati soda
7.sufa
8.kakila
9.makul az-rak(buma)
10.basbas jauza
11.halilinji
12.balinji
13.albinji
14.tangawizi kavu
15.daarfilfil
16.hiliki
17.haltiti
18.maka udi karah
19.Vyote mchanganyiko Twanga Uchekeche upate unga wake kisha Uchanganye kwenye Asali Safi mbichi kipimo cha chupa moja na nusu. Awe anakunywa hiyo Dawa kwenye kikombe cha kahawa kila siku kabla ya kula kitu kutwa 1x3 kwa muda wa wiki moja Inshaallah atapona.
c.Mgonjwa atachuliwa kwa dawa zifuatazo: Menthol,tymol(arak zamda) juice ya kitunguu thaumu nusu kikombe cha kahawa, mafuta ya zaituni kikombe cha kahawa koroga sawa sawa kutwa 1x2 Mumchue kwa hizo Dawa kwa muda wa mwezi mmoja.
D. Dawa zinapatikana Kariakoo kwenye Maduka ya Dawa za kiarabu karibu na soko kuu la Kariakoo, waulize wapemba watakufahamisha wapi zinapatikana. Tumia kisha unipe mimi maelezo mgonjwa anaendeleaje. Please Give me a FeedBack.@estano