Kozi gani ina michongo mingi kati ya Civil Engineering, Quantity survey na Geomatics?

Kozi gani ina michongo mingi kati ya Civil Engineering, Quantity survey na Geomatics?

Saddie Omary

Member
Joined
Jan 27, 2023
Posts
21
Reaction score
17
Wakuu kwema, Mimi ni muhitimu wa Diploma ya uhandisi madini (Mining Engineering) kutoka university of dodoma. Natamani kubadili upepo na kuongeza wigo mpana wa ujuzi kwa levo ya degree dirisha la mwaka huu likifunguliwa Inshaallah, katika moja kati ya kozi kama civil eng, Quantity survey na Geomatics. Ila sijajua kozi ipi ni nzuri na inaendana na soko la sasa especially kwenye michongo, Natamani kupata details kwa wanaofaham kuhusiana na kozi hizo.
 
Nenda geomatics ina options nyingi za kupata kazi unlike hizo nyingine eg unaweza kuwa surveyor wa halmashauri, mashirika ya umma kama Tanesco na agency za maji, kampuni za upimaji ardhi, kampuni za ujenzi barabara, migodi/ vitalu ya madini na gesi,tafiti za baharini, pia miradi yote ya kimkakati uwa inachukua surveyor wa kutosha either temporarily au permanent mfano ni mradi wa bomba la mafuta tz na uganda, Sgr na project ya nyerere hydro
Ukikosa kabisa ukiwa kitaani haukosi mtu mmoja mmoja au taasisi zinazotaka kupimiwa ardhi zao either kwa ajili ya kupata hati na kukopa au taasisi kulinda miliki ya ardhi
Nakushauri pia kama utaweza soma geomatics ya ardhi university ya miaka 4.
 
Nenda geomatics ina options nyingi za kupata kazi unlike hizo nyingine eg unaweza kuwa surveyor wa halmashauri, mashirika ya umma kama Tanesco na agency za maji, kampuni za upimaji ardhi, kampuni za ujenzi barabara, migodi/ vitalu ya madini na gesi,tafiti za baharini, pia miradi yote ya kimkakati uwa inachukua surveyor wa kutosha either temporarily au permanent mfano ni mradi wa bomba la mafuta tz na uganda, Sgr na project ya nyerere hydro
Ukikosa kabisa ukiwa kitaani haukosi mtu mmoja mmoja au taasisi zinazotaka kupimiwa ardhi zao either kwa ajili ya kupata hati na kukopa au taasisi kulinda miliki ya ardhi
Nakushauri pia kama utaweza soma geomatics ya ardhi university ya miaka 4.
Ahaa
As a quantity surveyor, nakushauri usome geomatics. Iko na uhusiano mzuri zaidi na mining engineering.

Kuhusu kupata michongo, hilo linategemea connections ulizonazo!
Ahaaa sawasawa mkuu shukran sana
 
Nenda geomatics ina options nyingi za kupata kazi unlike hizo nyingine eg unaweza kuwa surveyor wa halmashauri, mashirika ya umma kama Tanesco na agency za maji, kampuni za upimaji ardhi, kampuni za ujenzi barabara, migodi/ vitalu ya madini na gesi,tafiti za baharini, pia miradi yote ya kimkakati uwa inachukua surveyor wa kutosha either temporarily au permanent mfano ni mradi wa bomba la mafuta tz na uganda, Sgr na project ya nyerere hydro
Ukikosa kabisa ukiwa kitaani haukosi mtu mmoja mmoja au taasisi zinazotaka kupimiwa ardhi zao either kwa ajili ya kupata hati na kukopa au taasisi kulinda miliki ya ardhi
Nakushauri pia kama utaweza soma geomatics ya ardhi university ya miaka 4.
Nimekuelewa vizuri mkuu, pia kuna tofauti gani kati ya Geomatics na geoinformatics? Ipi ni competent than other? Mtu wa geoinformatics anaweza kufanya kazi za geomatics and vice versa?
 
Nimekuelewa vizuri mkuu, pia kuna tofauti gani kati ya Geomatics na geoinformatics? Ipi ni competent than other? Mtu wa geoinformatics anaweza kufanya kazi za geomatics and vice versa?
Geomatics ndio ipo competent ,geoinformatics unasoma baadhi ya vitu ambavyo geomatics anasoma ,hata kwenye ajira ni hivyo hivyo kuna baadhi ya ajira geoinformatics hawaingii
 
Geomatics ndio ipo competent ,geoinformatics unasoma baadhi ya vitu ambavyo geomatics anasoma ,hata kwenye ajira ni hivyo hivyo kuna baadhi ya ajira geoinformatics hawaingii
Umeeleweka vizuri sana brother,shukran kwa muongozo
 
Wakuu kwema, Mimi ni muhitimu wa Diploma ya uhandisi madini (Mining Engineering) kutoka university of dodoma. Natamani kubadili upepo na kuongeza wigo mpana wa ujuzi kwa levo ya degree dirisha la mwaka huu likifunguliwa Inshaallah, katika moja kati ya kozi kama civil eng, Quantity survey na Geomatics. Ila sijajua kozi ipi ni nzuri na inaendana na soko la sasa especially kwenye michongo, Natamani kupata details kwa wanaofaham kuhusiana na kozi hizo.
Nenda kasome kozi yeyote kati hizi kama wewe ni mtoto wa mkulima.

1. Civil

2. Electrical

3. Mechanical
 
Nenda geomatics ina options nyingi za kupata kazi unlike hizo nyingine eg unaweza kuwa surveyor wa halmashauri, mashirika ya umma kama Tanesco na agency za maji, kampuni za upimaji ardhi, kampuni za ujenzi barabara, migodi/ vitalu ya madini na gesi,tafiti za baharini, pia miradi yote ya kimkakati uwa inachukua surveyor wa kutosha either temporarily au permanent mfano ni mradi wa bomba la mafuta tz na uganda, Sgr na project ya nyerere hydro
Ukikosa kabisa ukiwa kitaani haukosi mtu mmoja mmoja au taasisi zinazotaka kupimiwa ardhi zao either kwa ajili ya kupata hati na kukopa au taasisi kulinda miliki ya ardhi
Nakushauri pia kama utaweza soma geomatics ya ardhi university ya miaka 4.
Kuja jamaa kapiga hiyo Geomatics yuko njema kwa kiasi maana kashajenga kwa kupiga hizo mishe, kiufupi hajasota kitaa kama wengine hasa ukilinganisha na awamu ya Magu ilivyovuruga soko la ajira
 
Wakuu kwema, Mimi ni muhitimu wa Diploma ya uhandisi madini (Mining Engineering) kutoka university of dodoma. Natamani kubadili upepo na kuongeza wigo mpana wa ujuzi kwa levo ya degree dirisha la mwaka huu likifunguliwa Inshaallah, katika moja kati ya kozi kama civil eng, Quantity survey na Geomatics. Ila sijajua kozi ipi ni nzuri na inaendana na soko la sasa especially kwenye michongo, Natamani kupata details kwa wanaofaham kuhusiana na kozi hizo.
Soma civil ila Sasa mko wengi sana but ningekuwa Mimi ningesoma geomatics
 
Back
Top Bottom