ujambazi....
soma medicne tu..
Kwa wale wanyeuelewa zaid upande wa ajira ni kozi gani nkichuku inaweza ikawa na uwepesi upande wa ajira!?
Kapige diploma ya radiography muhas,,,kitaaa utakua keki,,ajira za kutosha,,part time mpaka unazikataa...pesa nje nje!!!!! Watu wachache saaana afu cha mwisho lazma ukae sehem yenye umeme!!!!