Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
Habari zenu wana jf.......wakuu naomba mnipe mwongozo wa kile ambacho ntaenda kusomea chuoni....nna div 3 ya 13 yenye ECONOMICS-D
GEOGRAPHY-D
HISTORY-E
Pia nina F ya gs ingawa naona haitokuwa kikwazo kwani nusu yetu tumepata iyo........sasa nisaidieni faculty nzuri na ambazo marketable kwenye soko la ajira.
Pia je kwa iyo div 3 naweza kupata nafasi UDSM ukizingatia mwaka huu kuna one 325 tu Tanzania nzima?????
Nawasilisha hoja wadau
GEOGRAPHY-D
HISTORY-E
Pia nina F ya gs ingawa naona haitokuwa kikwazo kwani nusu yetu tumepata iyo........sasa nisaidieni faculty nzuri na ambazo marketable kwenye soko la ajira.
Pia je kwa iyo div 3 naweza kupata nafasi UDSM ukizingatia mwaka huu kuna one 325 tu Tanzania nzima?????
Nawasilisha hoja wadau