Baraka Essau
Member
- Jun 19, 2023
- 7
- 6
Telecomunication engeneering hii unaweza soma na itakutoa kimaisha coz mitandao ya simu na makampun mengi sn ukichek bandar ka ivo inauzwa na mama kasema itakuwa inatumia ma IT tu pale hata ukibeba kimzigo anakuona ikulu so somea iyo mda si mrefu utamiliki mjengo hapo hapo dar na gari mda si mrefu
Can you explain for me well please.Lab technician
Naombeni ushauri,
Ufaulu wangu wa form IV ni Dvs IV_27
B/math-F
Eng-C
Kisw-C
Hist-D
Geo-D
Civ-D
Bio-D
Je, ni kozi gani naweza somea ngazi ya cheti na yenye manufaa mbeleni.
Bila physics ni impossibleTelecomunication engeneering hii unaweza soma na itakutoa kimaisha coz mitandao ya simu na makampun mengi sn ukichek bandar ka ivo inauzwa na mama kasema itakuwa inatumia ma IT tu pale hata ukibeba kimzigo anakuona ikulu so somea iyo mda si mrefu utamiliki mjengo hapo hapo dar na gari mda si mrefu
Soma technical isue kama ufund bomba au umeme wa majumban/ viwandan au umeme wa magar heavy machanics itakutoa kwa haraka kulko corse zngne ztakuhtaj mpka ukafike degree na majukum hayakusubir tayar una bint wa watu ushampga na m
Sawa kaka sa umeme wa magari chuo gani na unahitaju sifa gnSoma technical isue kama ufund bomba au umeme wa majumban/ viwandan au umeme wa magar heavy machanics itakutoa kwa haraka kulko corse zngne ztakuhtaj mpka ukafike degree na majukum hayakusubir tayar una bint wa watu ushampga na mimba
Veta wamapokea mpka std 7 nenda veta iliyo karbu yako chukua fom na utaratbuSaw
Sawa kaka sa umeme wa magari chuo gani na unahitaju sifa gn