Kozi ipi ya madini zikomarketable hapa tz ?

Tagawa Mwakitombile

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
464
Reaction score
393
HABARI WANA JF KUNA MDOGOWANGU NI MUHITIMU WA KIDATO CHA 4 MWAKA 2012 NA MATOKEOYAKE SI MABAYA SANA MAANA ANA DIV 4 YA POINTS 27
MATH-C
PHY-D
CHEM-D
GEO-D
KISW-D
ENGL-D
BIOS-D
CIVS-D
HIS-D
NA SASAHIVI ANATAKA ATUME MAOMBI YA KUSOMA CERTIFICATE KATIKA CHUO CHA MADINI-DODOMA
NA KINATOA KOZI ZIFUATAZO;
*GEOLOGY AND MINERAL EXPLORATION
*PETROLEUM GEOSCIENCES
*MINING ENGINEERING
*MINERAL PROCESSING ENGINEERING
*ENVIRONMENTAL ENGNEERING AND MANAGEMENT IN MINES

JE NI KOZI GANI KATI YA HIZO AMBAYO IKO MARKETABLE HAPA NCHINI NA HATA NJE YA NCHI?

#thanks in advance#
 
1.GEOLOGY AND MINERAL EXPLORATION 2.MINING ENGINEERING 3. PETROLEUM GEOSCIENCES

Hizo programs zote ni nzuri ila Geology and mineral expl ni nzuri maake hata kwenye petrolium industry unaweza kupata kazi ikifatiwa na mining. Ila Petrolum ni hot cake kwa sasa ila uwezekano wakazi ni issue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…