Mwambie achague ya piliHabari wakuu, Naomba msaada wa mawazo au ushauri katika kuchagua kati ya hizo kozi mbili nilizo zitaja hapo juu
Kijana wetu amepata bahati ya kupata nafasi katika hizo kozi mbili hapo juu lakini nimeshindwa kumshauri achague ipi kwa vile sina uelewa mzuri wa hizo kozi ,
Mwambie asome Civil engeneering... hiyo ya pili ipo kundi moja na kozi nyingi za mawasiliano ambazo ajira zake ni changamoto na competition ni kubwa mfano IT,ICT,Computer Science,Computer engeneering,software engeneering,Telecomunication engeneering n.k zote zipo category moja katika uombaji wa kazi!Habari wakuu, Naomba msaada wa mawazo au ushauri katika kuchagua kati ya hizo kozi mbili nilizo zitaja hapo juu
Kijana wetu amepata bahati ya kupata nafasi katika hizo kozi mbili hapo juu lakini nimeshindwa kumshauri achague ipi kwa vile sina uelewa mzuri wa hizo kozi ,
shukran sana, suala la kuji ajiri au kuajiriwa ni muhimu sana hivyo nitamshauri kama ulivyo pendekezaMwambie asome Civil engeneering... hiyo ya pili ipo kundi moja na kozi nyingi za mawasiliano ambazo ajira zake ni changamoto na competition ni kubwa mfano IT,ICT,Computer Science,Computer engeneering,software engeneering,Telecomunication engeneering n.k zote zipo category moja katika uombaji wa kazi!
MWAMBIE AACHE UJINGA-Habari wakuu, Naomba msaada wa mawazo au ushauri katika kuchagua kati ya hizo kozi mbili nilizo zitaja hapo juu
Kijana wetu amepata bahati ya kupata nafasi katika hizo kozi mbili hapo juu lakini nimeshindwa kumshauri achague ipi kwa vile sina uelewa mzuri wa hizo kozi ,
Tele sio ishu sikuhiziHabari wakuu, Naomba msaada wa mawazo au ushauri katika kuchagua kati ya hizo kozi mbili nilizo zitaja hapo juu
Kijana wetu amepata bahati ya kupata nafasi katika hizo kozi mbili hapo juu lakini nimeshindwa kumshauri achague ipi kwa vile sina uelewa mzuri wa hizo kozi ,
Kati ya hizo yeye anapenda ipi?Habari wakuu, Naomba msaada wa mawazo au ushauri katika kuchagua kati ya hizo kozi mbili nilizo zitaja hapo juu
Kijana wetu amepata bahati ya kupata nafasi katika hizo kozi mbili hapo juu lakini nimeshindwa kumshauri achague ipi kwa vile sina uelewa mzuri wa hizo kozi ,