Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani atoke mambo ya Insurance akahamie afya?? Mbona kama unampoteza huyu mtuKama O Lvele yako inaeuhusu kasome diploma ya afya hutojuta
Najua mtu amabaye alisoma degree ya ualimu akamaliza 2017 akakaa mtaani hapasomeki 2019 akaenda diploma ya radiology mwaka huu yupo mwanza anapiga kazi hospital ya wilaya.Yaani atoke mambo ya Insurance akahamie afya?? Mbona kama unampoteza huyu mtu
Mimi mkuu ni degree holder waNajua mtu amabaye alisoma degree ya ualimu akamaliza 2017 akakaa mtaani hapasomeki 2029 akaenda diploma ya radiology mwaka huu yupo mwanza anapiga kazi hospital ya wilaya.
Kama course uliyosoma imwkukalisha mtaani bila kukupa return ya maana kuw tayari ku switch
Ila hiyo aliyosoma kwa sasa ni Insurance na mimi nina mifano mingi ya kwamba hiyo course ni nzuri, kwa fursa za ajiraNajua mtu amabaye alisoma degree ya ualimu akamaliza 2017 akakaa mtaani hapasomeki 2029 akaenda diploma ya radiology mwaka huu yupo mwanza anapiga kazi hospital ya wilaya.
Kama course uliyosoma imwkukalisha mtaani bila kukupa return ya maana kuw tayari ku switch
Ni kweli kabisa, japokua ajira zake sio zile zinazokuja kila siku, lakini zinapatikana na zinalipa.Ila hiyo aliyosoma kwa sasa ni Insurance na mimi nina mifano mingi ya kwamba hiyo course ni nzuri, kwa fursa za ajira
BBA - Accounting and Finance /Procurement ukimaliza soma CPA (T) utakuja kunishukuru miaka ijayo.Habari wakuu
Natanguliza shukurani
Mimi ni muhitimu wa Diploma in Insurance and Risk Management, but nataka niende degree this year, ila nahitaji kubadilisha course ambayo iko marketable, naombeni ushauri nisome course gani wakuu na chuo gani. 🤔