Kozi ya Architecture kwa kombi ya EGM

Kozi ya Architecture kwa kombi ya EGM

ngotho

Senior Member
Joined
Jun 18, 2021
Posts
142
Reaction score
111
Wakuu wangu natanguliza salaamu zangu za dhati na shukurani nikiamini mpo wazima.

Wakuu kwa heshima yenu ningependa kujua kutoka kwenu eti aliyesoma Combination ya EGM anaweza kusomea cozi ya architecture?? Nasikia eti hii kozi ni nzuri lakini kiundani zaidi sijajua inakuwaje.

Naombeni msaada wenu maana nimesoma combination ya EGM na naipenda sana kutokana na ninavyoambiwa. Naombeni msaada na ushauri zaidi..

Asanteni.
 
Kwanini unamsingizia mdogo wako? Kwani ukisema wewe ndiye unayetaka ushauri utakufa?
 
samahani mkuu wangu.. nilikosea kuitype na sasa nimeirekebisha..
mimi ndiye muhusika..
Mtu wa EGM anasoma vizuri kozi architecture na anaweza chaguliwa provided ana ufaulu mzuri. Hii kozi inatolewa chuo cha ardhi na MUST (Ardhi nadhani iko juu zaidi).

Ushawahi kuona magorofa au jengo lolote lile? Basi hawa jamaa ndio wanahusika kufanya design ya muonekano wa jengo. Kwa hiyo ukiona jengo lolote hasa haya magorofa basi hawa jamaa ndio wame dizaini muonekano wake.

Sasa architect akisha dizaini muonekano wa jengo ikiwa ni pamoja na kuspecify vipimo anamkabidhi civil/structural engineer ili asaizi nondo na ku specify aina zege inayo takiwa ili jengo lisimame na liwe imara. Kwa lugha rahisi architect anafanya kazi bega kwa bega na civl/structural engineer.

Kwa kifupi katika ujenzi (hasa miradi mikubwa) architect ndiye kiongozi wa site na katika malipo architect anachukua % kubwa akifwatiwa na civil/structural engineer then wanafwatia wengine kama electrical engineers, mechanical engineers na QS.

Architecture ni kozi nzuri (kwenye kujiajiri na kuajiriwa) IF AND ONLY IF ukiwa UNAIPENDA na kama una genetics (vinasaba) vya ubunifu (hii ni muhimu sana). Ila Kama utaisoma tu ili mradi umesoma kwanza hata chuo unaweza ukahama kozi maana mziki wa kule si wa kitoto (hii ni kwa mujibu wa walio soma hii kozi).

All in all kama unapenda ku design (ubunifu) nenda kasome na kama ukiwa mtu wa kujiongeza hutojuta!

All the best!
 
Mtu wa EGM anasoma vizuri kozi architecture na anaweza chaguliwa provided ana ufaulu mzuri. Hii kozi inatolewa chuo cha ardhi na MUST (Ardhi nadhani iko juu zaidi).

Ushawahi kuona magorofa au jengo lolote lile? Basi hawa jamaa ndio wanahusika kufanya design ya muonekano wa jengo. Kwa hiyo ukiona jengo lolote hasa haya magorofa basi hawa jamaa ndio wame dizaini muonekano wake.

Sasa architect akisha dizaini muonekano wa jengo ikiwa ni pamoja na kuspecify vipimo anamkabidhi civil/structural engineer ili asaizi nondo na ku specify aina zege inayo takiwa ili jengo lisimame na liwe imara. Kwa lugha rahisi architect anafanya kazi bega kwa bega na civl/structural engineer.

Kwa kifupi katika ujenzi (hasa miradi mikubwa) architect ndiye kiongozi wa site na katika malipo architect anachukua % kubwa akifwatiwa na civil/structural engineer then wanafwatia wengine kama electrical engineers, mechanical engineers na QS.

Architecture ni kozi nzuri (kwenye kujiajiri na kuajiriwa) IF AND ONLY IF ukiwa UNAIPENDA na kama una genetics (vinasaba) vya ubunifu (hii ni muhimu sana). Ila Kama utaisoma tu ili mradi umesoma kwanza hata chuo unaweza ukahama kozi maana mziki wa kule si wa kitoto (hii ni kwa mujibu wa walio soma hii kozi).

All in all kama unapenda ku design (ubunifu) nenda kasome na kama ukiwa mtu wa kujiongeza hutojuta!

All the best!
mkuu asante sana.. asante sana..
niliisikia tu kwa watu wakiiongelea .. ila kwa sasa umenipa maelezo mazuri na naweza nikaenda kuisoma kwa sababu umenijuza na nimeijua ..
asante mkuu..
 
acha hiyo cozi soma bafit ....usiponielewa basi
 
Mtu wa EGM anasoma vizuri kozi architecture na anaweza chaguliwa provided ana ufaulu mzuri. Hii kozi inatolewa chuo cha ardhi na MUST (Ardhi nadhani iko juu zaidi).

Ushawahi kuona magorofa au jengo lolote lile? Basi hawa jamaa ndio wanahusika kufanya design ya muonekano wa jengo. Kwa hiyo ukiona jengo lolote hasa haya magorofa basi hawa jamaa ndio wame dizaini muonekano wake.

Sasa architect akisha dizaini muonekano wa jengo ikiwa ni pamoja na kuspecify vipimo anamkabidhi civil/structural engineer ili asaizi nondo na ku specify aina zege inayo takiwa ili jengo lisimame na liwe imara. Kwa lugha rahisi architect anafanya kazi bega kwa bega na civl/structural engineer.

Kwa kifupi katika ujenzi (hasa miradi mikubwa) architect ndiye kiongozi wa site na katika malipo architect anachukua % kubwa akifwatiwa na civil/structural engineer then wanafwatia wengine kama electrical engineers, mechanical engineers na QS.

Architecture ni kozi nzuri (kwenye kujiajiri na kuajiriwa) IF AND ONLY IF ukiwa UNAIPENDA na kama una genetics (vinasaba) vya ubunifu (hii ni muhimu sana). Ila Kama utaisoma tu ili mradi umesoma kwanza hata chuo unaweza ukahama kozi maana mziki wa kule si wa kitoto (hii ni kwa mujibu wa walio soma hii kozi).

All in all kama unapenda ku design (ubunifu) nenda kasome na kama ukiwa mtu wa kujiongeza hutojuta!

All the best!
Ardhi na udsm wanatoa Bachelor of architecture(Architect)....

Mbeya university of science and technology wanatoa Bachelor of Technology in architecture(Architect Technologist)
 
acha hiyo cozi soma bafit ....usiponielewa basi
sawa mkuu ila ningeomba unipe na sababu kwa nini niache architecture.. sababu ni muhimu.. asante
na kidogo ningeomba unigusie kuhusu hiyo baf inakuwaje .. asante
 
sawa mkuu ila ningeomba unipe na sababu kwa nini niache architecture.. sababu ni muhimu.. asante
na kidogo ningeomba unigusie kuhusu hiyo baf inakuwaje .. asante

Inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana,kuwa architect....coz yenyewe ni ngumu mbaya zaidi ukiingia mtaani hali ni tete zaidi....kila mtu ana design, mafundi, waandisi, wakadiriaji ujenzi and so on.....
Cha kusikitisha zaidi ramani zinauzwa lama maandazi mitandaoni....so ni changamoto sana
Architects wengi wana hali mbaya sana mtaani
 
Inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana,kuwa architect....coz yenyewe ni ngumu mbaya zaidi ukiingia mtaani hali ni tete zaidi....kila mtu ana design, mafundi, waandisi, wakadiriaji ujenzi and so on.....
Cha kusikitisha zaidi ramani zinauzwa lama maandazi mitandaoni....so ni changamoto sana
Architects wengi wana hali mbaya sana mtaani
asante sana mkuu..
na vip kuhusu hii baf.. yenyewe inakuajekuaje kwa upande wa ajira.. lets say kuajiriwa au kujiajiri..
karibu mkuu
 
Ardhi na udsm wanatoa Bachelor of architecture(Architect)....

Mbeya university of science and technology wanatoa Bachelor of Technology in architecture(Architect Technologist)
Lakini ukweli utabaki kwamba ardhi ndio wako juu katika hiyo kozi.

Ni kama kilimo, hata kama udsm wana kozi za kilimo bado SUA ataendelea kuwa juu kwenye kilimo.
 
asante sana mkuu..
na vip kuhusu hii baf.. yenyewe inakuajekuaje kwa upande wa ajira.. lets say kuajiriwa au kujiajiri..
karibu mkuu
Jibu utakalopewa ni kwamba mpaka wanasheria wanajihusisha na mambo ya fedha. Na utaambiwa haina ajira na hata ukiwa na cpa hutapata kazi maana kuna wahasibu wengi mtaani na hawana kazi!!

Usipokuwa na msimamo kwenye hii dunia utaisoma namba maana kila mtu atakuja na lake.
 
Back
Top Bottom