Kozi ya health system management naomba kuelekezwa

hatedthemost

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2021
Posts
469
Reaction score
324
Nimeambiwa ni kozi nzuri na inapatikana mzumbe.

Napenda kufahamu juu ya upatikanaji wa ajira na mishahara kama unafahamu.

Nb:[emoji120] naomba tu mnijibu kistaarabu najua tuna hasira na mambo mengi.
 
Muhimbili ni nzuri kwasababu wanavifaa hata KCMC ila Mzumbe courses nzuri ni za business na tourism
 
Mkuu labda kama unataka uje kuuza mihogo huku mtaan
 
Kweli wanatoa hiyo course na salary zao ni Salary range for the majority of workers in Health services managers - from TSh830,040 to TSh8,729,273 per month - 2022.
 
Kweli wanatoa hiyo course na salary zao ni Salary range for the majority of workers in Health services managers - from TSh830,040 to TSh8,729,273 per month - 2022.
Kwenye soko la ajira?
Ndo yaleyale ya msoto au[emoji3064]maana wengine tukiwaza kwenda MD ni mtiti Nako
Asante,,[emoji120][emoji3590]
 
We kasome sipendagi majitu yanayokua yanajiuliza uliza kufanya mambo ya msingi .Utakuja kujuta sana mbele kenge wewe.Nenda shule haraka sana.
 
We kasome sipendagi majitu yanayokua yanajiuliza uliza kufanya mambo ya msingi .Utakuja kujuta sana mbele kenge wewe.Nenda shule haraka sana.
Dahh sio poa Jamaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Nimeambiwa ni kozi nzuri na inapatikana mzumbe.

Napenda kufahamu juu ya upatikanaji wa ajira na mishahara kama unafahamu.

Nb:[emoji120] naomba tu mnijibu kistaarabu najua tuna hasira na mambo mengi.
Kuna health management na health information system hizo kozi achana nazo kabisa mkuu
 
Dahh sio poa Jamaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Watu wamesoma DS na wanakula maisha sembuse health management? Ningekua karibu leo alikua anakula mabanzi huyu na angelia ningepatafuta panapotekea sauti na kwenyewe ningepapiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…