hatedthemost
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 469
- 324
Samahani mkuu umesoma post vizuri?Muhimbili ni nzuri kwasababu wanavifaa hata kcmc ila mzumbe courses nzuri ni za business na tourism
[emoji81][emoji81][emoji81]sawa sawaMkuu labda kama unataka uje kuuza mihogo huku mtaan
Usichukulie utani....Nimegraduate BHSM 2018[emoji81][emoji81][emoji81]sawa sawa
Nmekuelewa sana [emoji3064] ndio maana nauliza different opinions.Usichukulie utani....Nimegraduate BHSM 2018
Kwenye soko la ajira?Kweli wanatoa hiyo course na salary zao ni Salary range for the majority of workers in Health services managers - from TSh830,040 to TSh8,729,273 per month - 2022.
Kwa mwaka sidhani kama hata 50 wanafika wanao ajiriwa serikalini kwa kozi hiyo.Usichukulie utani....Nimegraduate BHSM 2018
Kwahyo akasome kujifurahisha tu na kujiita msomi sioπKwa mwaka sidhani kama hata 50 wanafika wanao ajiriwa serikalini kwa kozi hiyo.
Akasome tu kwaajili ya kupata elimu ya shahada ila asiitegeme ije impe maisha.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Dahh sio poa Jamaa ππππππWe kasome sipendagi majitu yanayokua yanajiuliza uliza kufanya mambo ya msingi .Utakuja kujuta sana mbele kenge wewe.Nenda shule haraka sana.
Kuna health management na health information system hizo kozi achana nazo kabisa mkuuNimeambiwa ni kozi nzuri na inapatikana mzumbe.
Napenda kufahamu juu ya upatikanaji wa ajira na mishahara kama unafahamu.
Nb:[emoji120] naomba tu mnijibu kistaarabu najua tuna hasira na mambo mengi.
Watu wamesoma DS na wanakula maisha sembuse health management? Ningekua karibu leo alikua anakula mabanzi huyu na angelia ningepatafuta panapotekea sauti na kwenyewe ningepapiga.Dahh sio poa Jamaa ππππππ
Ubarikiwe naamini amepata muongozo vizur ππni course nzuri sema haina ajira kama course nyingine .
ajiandae kwa lolote .