Kozi ya it imekuwa yeboyebo bongo sijui itakuwaje kwa miaka 5 ijayo kwenye ajira


Yalaaa...don't take it personal.
 
hata US wanasheria ni wengi kupita kiasi na wanaendelea kusoma ni wengi pia. ila kinachowatofautisha ni competence na ndio kitu cha msingi kwenye soko la ajira sasa kama ww ni kilaza au hujishughulishi katika fani yako tegemea maumuvu.
 
salute kijana, ushauri mzuri sana
 
Ukweli ni kwamba huko tuendako huwezi kuajiriwa kwakuwa tu eti wewe ni
mhitimu wa IT...haitoshi lazima uwe na ujuzi mwingine utakaokupa ajira...
IT ni kama kujua kusoma na kuandika, inatarajiwa kila mtu ajue matumizi yake

Well said Bro hii kitu watu wanachanganya unajau kuna IT na kuna Computer Science/Engineering , IT/ICT ni tatizo kuwa mimi nimesoma ICT ila najuta wish bibgesoma hat U-Dokta kwani IT/ICT ningweza kwenda kusoma hata Master na nika ipata fresh tu.
Kwa sasa mimi nashahuri watu wakasome TELECOM hii kitu bado ni dili bongo kwani vyuo ni vichache na wanafunzi wengi wanikimbia.
NIna mapango w akurudi chuoni hasa UDOM au DIT nikasome hii kitu hupya hata kama ni Certificate hii kitu ina husu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…