Kozi ya Safety and Occupation Health ngazi ya Shahada inatolewa chuo gani?

Kozi ya Safety and Occupation Health ngazi ya Shahada inatolewa chuo gani?

impelle

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2017
Posts
832
Reaction score
1,107
Hbr ya wknd ndugu zangu
Niende moja kwa moja kwenye Lengo la kuandika uzi huu,
Nina mdogo wangu ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu,alisoma combination ya HGL na kufanikiwa kupata matokeo mazuri ya daraja la kwanza la alama tisa.
Wakati najadiliana nae kutaka kujua anapenda kusoma nini na kuwa nani baadaye, nilishangaa kuona kwamba hajui kile anapenda kusomea shahada yake ya kwanza.
Leo nilikuwa napitia course mbalimbali mtandaoni,nikakutana na course moja ipo MZUMBE inaitwa Bachelor of Health system Management, kiukweli nimeipenda na nafikiri nikampe somo dogo juu ya hii course akielewa basi liwe chaguo la kwanza, ingine ambayo imesababisha niandike hapa kuomba msaada inaitwa SAFETY & OCCUPATION HEALTH hii naiona kuwa diversified sana ila sijui chuo gani kinatoa shahada yake na sifa za kujiunga.
Kwa kuwa napanga aombe vyuo vinne tofauti tofauti ili kuongeza nafasi ya kupata,naomba pia wana jamvi mnisaidie walau course nyingine nzuri ambazo mwanafunzi aliyesoma Arts atasoma na ikawa na future nzuri.

Ahsante
 
Katika harakati za hapa na pale ktk maisha nilikutana na jamaa aliye xoma course ya Safety & nini sijui,inaweza ikawa ndo hiyo alixoma SAUTI soo check course za sauti unaweza ukaiona hiyo ya Safety & Occupational Health
 
Bsc EHS Muhimbili akifika mwaka wa tatu ataopt occupation health kama elective..IPO pale muhimbili,..wanafanya kazi OSHA,
 
Mwanaume kama humtaki mwanaume hana ujanja.

Mbinu zetu tunazijua wenyewe. Eg.7

Niko period
Nimefunga kwaresma mpaka mfungo uishe
Nina fangas (unaweka vidonge) kumbe hata fangas huna.
Ya mfungo napiga ivo ivo Shukran ndugu
Katika harakati za hapa na pale ktk maisha nilikutana na jamaa aliye xoma course ya Safety & nini sijui,inaweza ikawa ndo hiyo alixoma SAUTI soo check course za sauti unaweza ukaiona hiyo ya Safety & Occupational Health


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kozi huku halmashauri unaajiriwa kama nani eti
 
Back
Top Bottom