Asante wana jamvi mimi ni kijana mwenye upeo mkubwa wa kufikiri katika mambo mbali mbali ni mtu nilio jaliwa sana na kupewa akili za kutosha katika kupanga mipango na ku boresha mawazo na fikra za wenzangu
napenda sana kutumia akili alizo nijalia Mwenyezi Mungu Katika kutatua na kuondoa umasikini katika vijana wenzangu
je ni chuo gani kina chotoa kozi ya UPROFFESOR ILI NIKAJIUNGE NAMI NIWE PRO FFESOR