Kozi za chuo kwa aliyesoma PCB

Kozi za chuo kwa aliyesoma PCB

Wa Igima

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2014
Posts
376
Reaction score
110
Habari Wana Jamnvi;
Msaada Kwa Kozi Bora Za Kusoma Kwa Mchepuo Wa Pcb Kwa Matokeo Yafuatayo.Physics D,chem C,bio C.
Nahitaji Mawazo Yenu Kuni Natarajia Ku Aply Mwaka Huu Na Nime Itim Mwaka 1014
 
Habari Wana Jamnvi;
Msaada Kwa Kozi Bora Za Kusoma Kwa Mchepuo Wa Pcb Kwa Matokeo Yafuatayo.Physics D,chem C,bio C.
Nahitaji Mawazo Yenu Kuni Natarajia Ku Aply Mwaka Huu Na Nime Itim Mwaka 1014

Mwaka 1014?
 
za kubahatisha;
MEDICAL DOCTOR (MD)
PHARMACY
VETERINARY MEDICINE
za kutumaini kabisa;
MEDICAL LABORATORY
EDUCATION WITH SCIENCE
NURSING-Degree
ELECTRICAL ENGINEERING( kama umefaulu BAM)
na nyingine nyingi.
 
wewe omba medical lab, nusring afu utaenda ubadrishe kama utakubaliwa ukishapata nafasi
 
Education, Sociology, Mass Com, Marketing and Tourism Management
 
anaweza kabisa kupata civil engineering bora tu pamoja na masomo mengine(physics,chemistry na biology) awe amefaulu pia BAM
 
Tunaupungufu mkubwa sana wa wataalam wa afya na walimu. Ukiweza kujilipia ada nenda MD vyuo vya private maana siku hizi bumu la kubahatisha ila ukienda education utakua umefanya jambo la maana na la kizalendo zaidi
 
Habari Wana Jamnvi;
Msaada Kwa Kozi Bora Za Kusoma Kwa Mchepuo Wa Pcb Kwa Matokeo Yafuatayo.Physics D,chem C,bio C.
Nahitaji Mawazo Yenu Kuni Natarajia Ku Aply Mwaka Huu Na Nime Itim Mwaka 1014

Jaribu Medical lab,nursing.. kwa MD na pharmacy point zako haziruhusu
 
Tunaupungufu mkubwa sana wa wataalam wa afya na walimu. Ukiweza kujilipia ada nenda MD vyuo vya private maana siku hizi bumu la kubahatisha ila ukienda education utakua umefanya jambo la maana na la kizalendo zaidi

Ni kweli kuna upungufu wa wataalam uliowataja; hata mimi nimemshauri dogo asome ualimu au kozi za afya. Tatizo ni kwamba dogo anataka kuwa engineer tena civil engineer. Kama una ushauri zaidi ya huo nitashukuru sana.
 
We kilaza omba Education Science tu. MD na Pharmacy usiguse point zako ni za kiteule sana. Utaangukia pua. Ukiforce sana ndo utaishia KIU kwa vilaza wenzio
 
We kilaza omba Education Science tu. MD na Pharmacy usiguse point zako ni za kiteule sana. Utaangukia pua. Ukiforce sana ndo utaishia KIU kwa vilaza wenzio
we mpuuzi usidanganye uma kwamba kiu kuna vilaza kiu kuna watu nawajua wana dvsn 2 nzuri tu lakini wako pale hawakupenda kupelekwa ila ni tcu
 
we mpuuzi usidanganye uma kwamba kiu kuna vilaza kiu kuna watu nawajua wana dvsn 2 nzuri tu lakini wako pale hawakupenda kupelekwa ila ni tcu

Vilaza kama wewe huwa sipotezi muda kubishana nao. uliza walioko KIU wakwambie cut off point zao ni ngapi then ulinganishe na walioko vyuo kama MUHAS, CUHAS, KCMC na HKMU kwa kozi za MD, Pharmacy na Lab. ukipata jibu ukae kimya hivohivo.

Kwa mawazo yako Mgando yaliyojaa ukungu bado unafikiria walioko KIU ni kama walikuwa damped pale na TCU. we ndo unapotosha umma kwa mawazo yako ya ukilaza. unapochagua vyuo unapewa nafasi 5 za kujaza vyuo na kozi unazotaka kwa hiyo mwisho wa siku kwenye selection unapata nafasi moja kati ya zile 5 ulizojaza. usipoqualify ndo hapo unarudia kuchagua nafasi moja kwenye second au third round,

Usisahau pia kuwa kuna Transfer. VILAZA wengi wa KIU waliomba transfer kuhamia KIU kutoka programme zingine walizoomba kwenye vyuo vingine baada kuwa Competition imewatema na chuo pekee kilichobakia ni KIU. wapo niliosoma nao walikuwa wanaomba transfer wao wenyewe kwa kuomba barua za chuo na kuzipeleka TCU.

Ondoa akilini mwako hayo mawazo mgando kuwa TCU inamchagulia mtu kozi asiyoitaka.
 
Back
Top Bottom