Kozi za healthcare tafadhali

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Nina ndugu zangu nimewashauri wasomee masuala ya healthcare
ili kupata ajira kwa urahisi

sasa naomba mwenye kujua vyuo vya private na serikali vyenye kozi fupi za mwaka mmoja hivi au miwili

na aina za kozi wanazotoa....

Interest ipo kwenye healthcare management diploma hivi
au kama za aina hiyo
 

mkuu vyuo vya healthcare inategemea wanataka kusoma nini in health, inaweza kuwa Laboratory, Health records, Clinical officer na Nursing. Course nyingi ni kuanzia two years. once unajua wanataka kusoma nini then we can easly tell you vyuo.
 
On this same subject. Nimejaribu kutafuta course za Masters maswala ya health e.g control of infectious disease,molecular bio etc website za kcmc,muchs hazifanyi kazi. Kama kuna mtu ana list ya available MSc naomba aweke hapa.
 
mkuu vyuo vya healthcare inategemea wanataka kusoma nini in health, inaweza kuwa Laboratory, Health records, Clinical officer na Nursing. Course nyingi ni kuanzia two years. once unajua wanataka kusoma nini then we can easly tell you vyuo.

nimesema hapo juu
healthcare management...

wewe nipe orodha ya vyuo vyote vya healthcare hapa bongo
vya serikali na vya private
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…